Inategemea na mtumiaji (sehemu hicho kibamia kinapoingia), kinaweza kikawa inchi 6 au 8 lakini kutokana na ukubwa wa sehemu kinapoingia, kikawa ni kibamia.Naombeni wan JF mnisaodie kwa hili,
Maana kila siku nasikia watu wanalalamika na kuongelea vibamia,ko ningependa nduguzanguni mnielize ni ukubwa gani unachukuliwa kama kibamia.
Watu tunafikiria mita 200 kutoka kituo cha kupigia kura,Wewe unafikiria centimeter kadhaa kutoka Mavuzini?