Kibamia ni size ya inch au sentimeter ngapi?

Kibamia ni size ya inch au sentimeter ngapi?

lavian

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2015
Posts
722
Reaction score
329
Naombeni wan JF mnisaodie kwa hili,

Maana kila siku nasikia watu wanalalamika na kuongelea vibamia,ko ningependa nduguzanguni mnielize ni ukubwa gani unachukuliwa kama kibamia.
 
Unachohitaji kujua ni kuwa mwenzio anaridhika, ama lah. Kujua size haitakusaidia chochote.
 
Inategemea na huyo mwanamke unayekua nae ana kina na kipenyo cha saizi gani..
 
Naomben wan JF mnisaodie kwa hili,maana kila cku naskia watu wanalalamika na kuongelea vibamia,ko ningependa nduguzanguni mnielize ni ukubwa gani unachukuliwa kam kibamia

Bamia la tanga lile teketeke ukiliminya huku juu kujua kama limekomaa au halijakomaa, shurti liwe refu jembamba na ukiminya kama kwa kubinjua kule juu kwenye ncha litakatika ikiwa sio gumu likiwa gumu au limekomaa halivunjiki hilo halifai. Kipimo ni mkono wako kama wazungu wasemavyo A SPADE IS A SPADE, na KIBAMIA ni KIBAMIA usitake kujua sze yake. Kamwe bamia haiifikii bilinganya kwa ukubwa hata ikiwekewa mbolea ya GNLD. Upoooo....!!!???
Ndo Kasie huyo nna uzoefu na bamia hapo nimecheua ukiniuliza zaidi ntatapika looh
 
Bamia la tanga lile teketeke ukiliminya huku juu kujua kama limekomaa au halijakomaa, shurti liwe refu jembamba na ukiminya kama kwa kubinjua kule juu kwenye ncha litakatika ikiwa sio gumu likiwa gumu au limekomaa halivunjiki hilo halifai. Kipimo ni mkono wako kama wazungu wasemavyo A SPADE IS A SPADE, na KIBAMIA ni KIBAMIA usitake kujua sze yake. Kamwe bamia haiifikii bilinganya kwa ukubwa hata ikiwekewa mbolea ya GNLD. Upoooo....!!!???
Ndo Kasie huyo nna uzoefu na bamia hapo nimecheua ukiniuliza zaidi ntatapika looh


ha ha haaa
Et bora umemwambia kibamia ni kibamia tu
 
Ikiwa imelala au imesimama??
 
Bamia la tanga lile teketeke ukiliminya huku juu kujua kama limekomaa au halijakomaa, shurti liwe refu jembamba na ukiminya kama kwa kubinjua kule juu kwenye ncha litakatika ikiwa sio gumu likiwa gumu au limekomaa halivunjiki hilo halifai. Kipimo ni mkono wako kama wazungu wasemavyo A SPADE IS A SPADE, na KIBAMIA ni KIBAMIA usitake kujua sze yake. Kamwe bamia haiifikii bilinganya kwa ukubwa hata ikiwekewa mbolea ya GNLD. Upoooo....!!!???
Ndo Kasie huyo nna uzoefu na bamia hapo nimecheua ukiniuliza zaidi ntatapika looh


Shikamoo Kasie...!!
 
Nilihangaika Sana! Kila Demu Kwangu Ilikuwa Bwawa! Huyu Dokta Wa Tiba Asili Alifungua Ukurasa Mpya Ktk Maisha Yangu!, Dr Jerome 0757430913
 
Sisi wenye inch 8 Mimi na braza Mandingo wake za watu wanatusumbua sana
 
Last edited by a moderator:
bamia huwa ni kama cm 10,bustanini kwetu huwa tuna vibamia kibao pamoja na nyanyanyanya..bamia ni bamia tu
 
Sijaomba msaada wa kutafta dawa bro,niltak kujua size ya kibmi2
 
Bamia la tanga lile teketeke ukiliminya huku juu kujua kama limekomaa au halijakomaa, shurti liwe refu jembamba na ukiminya kama kwa kubinjua kule juu kwenye ncha litakatika ikiwa sio gumu likiwa gumu au limekomaa halivunjiki hilo halifai. Kipimo ni mkono wako kama wazungu wasemavyo A SPADE IS A SPADE, na KIBAMIA ni KIBAMIA usitake kujua sze yake. Kamwe bamia haiifikii bilinganya kwa ukubwa hata ikiwekewa mbolea ya GNLD. Upoooo....!!!???
Ndo Kasie huyo nna uzoefu na bamia hapo nimecheua ukiniuliza zaidi ntatapika looh

Mkuu lzm ana bamia anataka kujipa moyo
 
Back
Top Bottom