sammosses
JF-Expert Member
- Jan 24, 2011
- 1,682
- 1,110
Mwenyekiti wa jukwa la katiba Deo Kibamba amesikitishwa na hali ya demokrasia kuvurugika ndani ya CCM kutokana na malumbano ambayo yameshika kasi kwenye majukwa ya kisiasa kuliko ndani ya vikao halali vya Chama.Ameendelea kufafanua wakati wa mwalimu watu walikuwa wanapishana na kulumbana ndani ya vikao vya chama lakini mwisho wa siku mmoja alitoka nje nakupewa dhamana ya kuzungumzia msimamao wa pamoja wa chama,tofauti na hivi sasa kila mmoja natoka kivyake kusemea msimamo wake bila kujali vikao vya chama.
Hali ya kuvurugika demokrasia ndani ya CCM kimtazamo inatishia uhai wa chama ikiwa ni pamoja na kujenga makundi yasiyo na tija kwa mustakabli wa chama.Malumbano hayo yawezekana yakashika kasi ifkapo 2015 na kusababisha kusamabaratika kwa CCM.
Hali ya kuvurugika demokrasia ndani ya CCM kimtazamo inatishia uhai wa chama ikiwa ni pamoja na kujenga makundi yasiyo na tija kwa mustakabli wa chama.Malumbano hayo yawezekana yakashika kasi ifkapo 2015 na kusababisha kusamabaratika kwa CCM.