Kwanini kila kitu lazima Lusinde atoe comments? Kwani na yeye anakereketwa na na nini?Mbunge wa Mtera Livingstone Lusinde ameibuka na kuuliza mbunge wa kuteuliwa viti maalum na Rais, Dkt Bashiru anakerwa na nini kuhusu wakulima ikiwa yeye ni mteule wa Rais ambaye anatakiwa kusimamia sera za Rais. Labda Bashiru anaugua kichaa cha akili.
Rais ana sera?, ninachojua Rais anaendesha nchi kwakutumia Ilani ya chama, sera zilizopitishwa na serikali huku akitumia Katiba ya nchi na sheria zilizopitishwa na bunge.Dkt Bashiru anakerwa na nini kuhusu wakulima ikiwa yeye ni mteule wa Rais ambaye anatakiwa kusimamia sera za Rais.
Ogopa ongezeko la Wajinga Machawa kila nyanja mpaka WABUNGEKwa hiyo unasimamia sera za raisi hata kama unaona zinawaumiza watu au hazileti matokeo?
Hio ndio TZ
Mbunge wa Mtera Livingstone Lusinde ameibuka na kuuliza mbunge wa kuteuliwa viti maalum na Rais, Dkt Bashiru anakerwa na nini kuhusu wakulima ikiwa yeye ni mteule wa Rais ambaye anatakiwa kusimamia sera za Rais. Labda Bashiru anaugua kichaa cha akili.
Safi sana KibajajiMbunge wa Mtera Livingstone Lusinde ameibuka na kuuliza mbunge wa kuteuliwa viti maalum na Rais, Dkt Bashiru anakerwa na nini kuhusu wakulima ikiwa yeye ni mteule wa Rais ambaye anatakiwa kusimamia sera za Rais. Labda Bashiru anaugua kichaa cha akili.
TBC wako mubashara
FIFA World Cup
Yule mama ambavyo hapendi kusimangwa hadhrani.bashiru jiandae kuwa katibu tawala mkoa wa njombeMbunge wa Mtera Livingstone Lusinde ameibuka na kuuliza mbunge wa kuteuliwa viti maalum na Rais, Dkt Bashiru anakerwa na nini kuhusu wakulima ikiwa yeye ni mteule wa Rais ambaye anatakiwa kusimamia sera za Rais. Labda Bashiru anaugua kichaa cha akili.
Binadamu yoyote mwenye akili na utu lazima atakerwa na hali za wakulima, nadhani hata bendera ya chama chao ina jembe sio kwa bahati mbaya bali kuonyesha umuhimu wa huyu mkulima (peasant)Mbunge wa Mtera Livingstone Lusinde ameibuka na kuuliza mbunge wa kuteuliwa viti maalum na Rais, Dkt Bashiru anakerwa na nini kuhusu wakulima
Kwahio Sera za Rais ni kutokujali wakulima ?ikiwa yeye ni mteule wa Rais ambaye anatakiwa kusimamia sera za Rais. Labda Bashiru anaugua kichaa cha akili.
Nakuunga MkonoMimi ni Tomaso, siamini haya ni maneno ya mbunge wa CCM, mpaka nione clip na kuyasikia kwa masikio yangu mwenyewe!.
P
Mi sijaona kosa la BashiruMbunge wa Mtera Livingstone Lusinde ameibuka na kuuliza mbunge wa kuteuliwa viti maalum na Rais, Dkt Bashiru anakerwa na nini kuhusu wakulima ikiwa yeye ni mteule wa Rais ambaye anatakiwa kusimamia sera za Rais. Labda Bashiru anaugua kichaa cha akili.
Ushaiona alafu hapo unajifanya hujaiona....mtoto wa maghorofani drive in unaniangushaKwa nini hiyo clip usiiweke wewe?.
He who aleges, must prove!. Ulileta kitu humu, leta kitu kamili!.
P
Kibajaji kamwambia bashiru jambo lake yeye ni ikulu,maana hao ndiyo wamemteuaKwa nini hiyo clip usiiweke wewe?.
He who aleges, must prove!. Ulileta kitu humu, leta kitu kamili!.
P
huyo lusinde ni mjinga kama majinga mengine ya ccm humu jf yeye anawezaje kuquestion maon ya Bashiru as if yeye pekee na wajinga wenzie huko lumumba ndo wenye haki ya kuongea, namshauri kama yeye anapendezwa na hali ya maisha ya watanzania kwa sasa aendelee kusifia ujinga walionao mambulura wengi huko ccm lakin majibu 2025 watayapata. Bashiru shikilia hapohapo mpaka mataga ya lumumba yatage.Mbunge wa Mtera Livingstone Lusinde ameibuka na kuuliza mbunge wa kuteuliwa viti maalum na Rais, Dkt Bashiru anakerwa na nini kuhusu wakulima ikiwa yeye ni mteule wa Rais ambaye anatakiwa kusimamia sera za Rais. Labda Bashiru anaugua kichaa cha akili.
Kweli mzee, isijekuwa kinyang'anyiro cha 2025 kimeanza.Mimi ni Tomaso, siamini haya ni maneno ya mbunge wa CCM, mpaka nione clip na kuyasikia kwa masikio yangu mwenyewe!.
P
Mimi ni Tomaso, siamini haya ni maneno ya mbunge wa CCM, mpaka nione clip na kuyasikia kwa masikio yangu mwenyewe!.
P
Amini nakuambia, sijaiona!.Ushaiona alafu hapo unajifanya hujaiona....mtoto wa maghorofani drive in unaniangusha
Ila Acha waparuane tu ndiyo siasa zilivyo,unafki mwanzo mwisho
Ova
Unashangaa Kibajaji kutumia lugha kama hiyo?🤣🤣Siamini kwasababu maneno haya ni makali sana, na hii lugha, sio lugha ya kibunge, ni lugha ya kijiweni!.
P
Ubunge wake sio wa vitu maalum, ubunge wake ni wa kuteuliwa ili kumsaidia rais. Vitu maalum ni kwa watu maalum kwa kazi maalum!.Acha karma imkute Bashiru maana aliendesha siasa za kishenzi sana kipindi cha Magufuli.
Halafu wakati alipopewa ukatibu mkuu wa CCM alisema hicho ni cheo chake cha mwisho na hahitaji kingine, lakini akapewa ukatibu mkuu kiongozi na bado akakubali. Na sasa amepewa ubunge wa viti maalum