Unamzunguzia herry kisanduku?Huyo aliyesimama nyuma ya Makonda amevaa miwani, sio yule aliyemtolea bastora Nape Nauye baada ya kuondolewa kuwa waziri? Kumbe ni mlinzi wa Bashite!!!
Hapana huyo ni mkuu wa wilaya ya Ubungo.!Huyo aliyesimama nyuma ya Makonda amevaa miwani, sio yule aliyemtolea bastora Nape Nauye baada ya kuondolewa kuwa waziri? Kumbe ni mlinzi wa Bashite!!!
Hapana huyo ni mkuu wa wilaya ya Ubungo.!
hapa kazi tu baba......kuuza sura kule kwingineView attachment 1410138View attachment 1410140
Kusema kweli Ummy Mwalimu Nakupongeza kwa kazi unayofanya unachakalika mpaka kiatu kinachakaa
Hili kiatu sio cha mtu kama wewe wazuri kiatu kimechakaa na vumbi juu sasa kama na wewe umechakaa je watembeza bahasha itakuwaje
Samahani kwa hii thread