Kiatu cha Messi chawakera raia wa Misri

Kiatu cha Messi chawakera raia wa Misri

wana ustaarabu gani hao bwana si tunaona hata katika viwanja vyao vya mpira bhana juzi tuu na Nigeria ilikua fujo uwanjani sems Caf ipo kwao inawabeba mbona kombe la dunia hawaonyeshi kiwango kama di kubebwa hapa Africa tuu.
 
kwa kifupi ukitafakari ni kwa jamii ya wastaarabu alichofanya ni dharau.... kama ana nia ya dhati ya kusaidia angetoa hata sehemu tu ya mshahara wake wa mwezi mmoja akawapa, sio kupigisha mnada kiatu!! hiyo ni dhihaka
 
Messi anahangaika nini na hiyo mijitu? Mijitu isiyoelewa kuwa tamaduni zao siyo ya dunia yote? Mijitu inayowaza shari kula wakati hata kama una nia njema kwao?
kwani alienda kuombwa? kama mnababaika na ustar wake ni nyinyi tu, watu wanamuona wa kawaida tu, kwa mtu anaejielewa hiyo ni dhihaka
 
Waliokasirika ndio wamechemka.

Messi ni football star. Kiatu ni football gear. Kutoa gear yake ni ishara ya heshima.

Utamaduni wa kuangaliwa hapo ni wa soka.
hayo ni mawazo yako ambaye ushakua addicted na ustar wa mess, lolote atakalofanya kwako ni sawa, kwa waungwana na waliohuru kifikra hiyo ni dhihaka
 
Messi anahangaika nini na hiyo mijitu? Mijitu isiyoelewa kuwa tamaduni zao siyo ya dunia yote? Mijitu inayowaza shari kula wakati hata kama una nia njema kwao?

Mijitu kama wewe ambayo haielewi kuwa watu wana ufahamu na uelewa tofauti ni ya nini sasa. Mijitu kama wewe ambayo inafikia hitimisho bila kuwa na taarifa zote zaidi ya hisia na chuki na udini tu. Unawezaje hitimisha kuwa watu wa kule tena wote wanawaza shari tu? Mijitu kama wewe ni kama Jecha tu.
 
Messi anahangaika nini na hiyo mijitu? Mijitu isiyoelewa kuwa tamaduni zao siyo ya dunia yote? Mijitu inayowaza shari kula wakati hata kama una nia njema kwao?
Tatizo ni huko ulipozaliwa na kukulia akil yako inawaza PUMBA TU
 
Dunia ya sasa tunapaswa pia kujifunza tamaduni za watu wengine
Niliwahi kuona Colin Powell akifurahia kuoneshwa mbwa aliepewa jina lake

Sasa sisi waswahili mtu akikwambia nimempa mbwa wangu jina lako utaona nimekuheshimu au nimekudharau?

Ha ha ha. Unanukumbusha ile kesi ya mbwa aliyehukumiwa na hakimu auawe na akauawa kwa vile tu alipewa jina la Immigration
 
mijitu mingine haina akili kabisa! Huwa Inawaza udini tu muda wote! Naona sasa hicho kiatu cha messi kimeanza kuleta maana ingine, ishaanza udini na kusemwa waarabu..huu upumbavu kabisa sijui utaisha lini! Hii mikafiri ishapata laana na itaendelea kupata laana
 
Mimi toka ashuke na bukta kwenye ziara gabone sijaielewa akili yake mpaka kesho.

Huku wenyeji wake wakimsubiri na suti kali.
 
Mesi kaona kawathamini, wao wanaona wametukanwa. Kazi kweli!
 
Mesi kaona kawathamini, wao wanaona wametukanwa. Kazi kweli!
Messi kama alitaka kuwathamini c angetoa ela kwny account yke n kuwatumia iyo n dharau et kiatu kipigwe mnada ndo ela ipelekwe
 
Mijitu kama wewe ambayo haielewi kuwa watu wana ufahamu na uelewa tofauti ni ya nini sasa. Mijitu kama wewe ambayo inafikia hitimisho bila kuwa na taarifa zote zaidi ya hisia na chuki na udini tu. Unawezaje hitimisha kuwa watu wa kule tena wote wanawaza shari tu? Mijitu kama wewe ni kama Jecha tu.
Duh! Mkuu sasa dini imeingiaje hapa? Ktk mantiki ya thread na post yangu dini imeingiaje nakuuliza?
 
Messi anahangaika nini na hiyo mijitu? Mijitu isiyoelewa kuwa tamaduni zao siyo ya dunia yote? Mijitu inayowaza shari kula wakati hata kama una nia njema kwao?
Hata huyo Messi wako anatakiwa kujuwa tamaduni zake sio kwa dunia yote.
 
Hata huyo Messi wako anatakiwa kujuwa tamaduni zake sio kwa dunia yote.
Kwanza huyo Messi siyo wangu, ni wa Barca, na umesema vema "anatakiwa kujuwa tamaduni zake siyo za dunia yote". Bila shaka unaweza kujibu haya maswali:
1. Kama alitakiwa kujua tamaduni zake na siyo za dunia yote ulitegemeaje ajue tamaduni za watu wa Misri?
2. Kwa kuwa utamaduni uliopo ktk jambo hili ni wa SOKA, je, unajua maana ya KIATU CHA SOKA (siyo kila kiatu) ktk utamaduni wa soka?
3. Unajua ni kwa nini mchezaji bora kwenye soka hutunikiwa sanamu ya KIATU cha dhahabu? Na je, kwa mantiki ya wamisri na wewe, FIFA huwa inamdhalilisha huyo mchezaji bora?
4. Kama unaelewa kuwa lengo la Messi lilikuwa ni kufanikisha "fund raising" kwa lengo jema, je, unaelewa jambo la kunadi "Kiatu cha soka cha Messi" lingeleta thamani gani?

Jamani, mimi naamini sote tuliumbwa na akili njema na ufahamu mzuri na Mwenyezi. Ebu jitahidini kuondoa hizo kuta bandia katika akili zeni ili muuone uzuri wa kazi ya Mwenyezi nje ya kuta zenu!
 
Tatizo ni huko ulipozaliwa na kukulia akil yako inawaza PUMBA TU
Wewe ni mmisri? Maana inaonekana unawaka hasira juu ya Messi kama wamisri. Na ni wapi huko mkuu nilipozaliwa na kukulia?
 
Tatizo ni huko ulipozaliwa na kukulia akil yako inawaza PUMBA TU
321587.jpg


Kwanza hii avetar yako inaonyesha akili yako imetawaliwa na nini. Kwa msiojua hiyo ni nembo inayowakilisha mmea wa BANGI na inatumiwa na wanaharakati wanaotaka matumizi ya bangi yahalalishwe. chini ya reli ni mmoja wao.
 
hayo ni mawazo yako ambaye ushakua addicted na ustar wa mess, lolote atakalofanya kwako ni sawa, kwa waungwana na waliohuru kifikra hiyo ni dhihaka
Utakuwa na chuki binafsi na Messi wewe, si bure. Halafu hao unaowaita "waungwana na watu walio huru ndo watu wa wapi? Maana katika tembea tembea yangu nishakuta mahali mgeni akifika kabla ya salamu wanamvua viatu vyake na kuvibusu maana ndo vimembeba na kumfikisha mgeni wao mpendwa.
 
Kama vipi si kipigwe mnada pesa zije Africa, achane nao wasubiri watu wauze suti na cheni za dhahabu wapelekewe hizo hela.
 
Back
Top Bottom