Kiashiria kingine cha uhusika wa serikali mateso ya dk ulimboka

Hakika CHADEMA wangehusika na utekaji wa Dr Uli wangekamatwa usiku ule ule tena kwa shangwe KUU
 
Mi nafkiri huna hata CHEMBE ya akili na HUJUI kinachoendelea humu nchini....na hizo pesa ulizopewa ku post huu upuuzi WAKO zitakutokea puani........
 

kwani clouds si ****** tu wale...kazi kuliwa tgo na kushabikia uongo
 
Mwakyembe alisema yote na vielelezo kibao na mataarifa mengi kila kona. na pia ni magamba lakini bado walimfanyia tuliyoyaona. Itakuwa CDM, drs au sijui nani>>>>!!!!! hii serikali inaelekea kusiko na hizi ndo dalili hivyo stay tuned
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…