Leo viongozi waandamizi wa chadema Dr Slaa,Mnyika,Mbowe na Lema wametangaza kufuatiliwa kwa madhumuni ya kuuwawa na wanaoamiwa kuwa ni usalama wa Taifa kwa madai wako nyuma ya mgomo wa madaktari.Kama wameweza kwa viongozi hawa basi ni dhahiri serikali ilitumia mbinu hii hii kumwondosha duniani dr Ulimboka ila Mungu kamwokoa.WANAJARIBU KUZUIA UPEPO KWA VIGANJA VYA MKONO.