Hapo kwenye black, huoni hata aibu. Unafikiri ni rahisi hivyo kuwa na cheo cha Dr. au ndo hao akina Prof Maji Marefu!!...baada ya kuona DK JK anakamilisha ...
Hapo kwenye black, huoni hata aibu. Unafikiri ni rahisi hivyo kuwa na cheo cha Dr. au ndo hao akina Prof Maji Marefu!!...baada ya kuona DK JK anakamilisha ...
Aisee huwezi kuwa mtoto wa mangi, hebu muulize mama vizuri kuwa baba ako ni nani.
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
hakuna chochote tatizo la chadema wameshaona wamekwama kwenye mgomo kuiangusha serikali na wakaamu kumteka
Mbona umeangalia Chacha pekee?Mi nahisi hawa chadema walimwondoa Sokoine,Imrani Kombe,Kolimba, Balali na wengineo au vipi?