​
Mimi kama kijana wa kitanzania na mwenye msimamo wa kweli usio sindikizwa nanjaa nina jitoa kwa dhati kuwa LOWASA hata shika madaraka yoyote makubwa katika nchi hii zaidi ya uwaziri mkuu ulio mshinda, vijana tukiwa ndo watu ambao tunategemewa inatakiwa tuwe na msimamo mmoja wa kulipinga hili kwani tutakuja dharaulika sana na vizazi vijavyo tukisoea kwenye hili swala (kumpa LOWASA NCHI KAMA RASI)
LOWASA hata kama atakuja kuhamia au kuamua kugombea urasia kwa upitia CCM au chama kingine chochote hatakiwi kupewa nafasi ya urasi mana hata ya uwazili mkuu aliyopewa kama FADHIRA na rasia ailiyepo ilimshinda tena kwa kashfa nzito sasa tena kumpa nafasi kubwa ya kushika mstakabali wa wananchi wote with full power ni kuweka rehani Taifa
Vijana musishikwe na njaa ya muda mfupi ambayo inasahaulika kwa wewe kula a kwenda kujisaidia (kunya) mana chakula huwa hakiishi milele (kudumu kyk tumbo) katika tumbo lakini maamuzi sahihi huishi daima katika maisha yetu na ya vizazi vijavyo, ko kumshabikia LOWASA kama wanamziki uchwara KARA JEREMAYA NA WAPUMBAVU WENZIE kuendelea kumpigia kampeni za chini kwa chini hazijengi na inatakiwa vijana wote tuungane na tupinge upuuzi huu.
Maisha ya binadamu haya ishi baada ya wewe kufa ko mambo unayo yafanya sasa yana athali kubwa kwa unao waacha je itakuwaje ume mchaguwa mtu aliye wahi kuwa na tuhuma za upotevu wa mahela kibao ya selikari na akasababisha asara kubwa kwa taifa aje aharibu maisha ya mwanao au mjuu wako think big
MIMI NATOWA WITO KWA VIJANA WOTE WANAO TAKA KUINGIA KWENYE MTEGO WA KUSHAWISHIKA NA LOWASA SHTUKA HUYU JAMAA NI HATALI SANA KWA USTAWI WA NCHI YETU MIMI NITA MPINGA MPAKA MWISHO UNGANA NAMI
Stephano D.M 0713127214
Mimi kama kijana wa kitanzania na mwenye msimamo wa kweli usio sindikizwa nanjaa nina jitoa kwa dhati kuwa LOWASA hata shika madaraka yoyote makubwa katika nchi hii zaidi ya uwaziri mkuu ulio mshinda, vijana tukiwa ndo watu ambao tunategemewa inatakiwa tuwe na msimamo mmoja wa kulipinga hili kwani tutakuja dharaulika sana na vizazi vijavyo tukisoea kwenye hili swala (kumpa LOWASA NCHI KAMA RASI)
LOWASA hata kama atakuja kuhamia au kuamua kugombea urasia kwa upitia CCM au chama kingine chochote hatakiwi kupewa nafasi ya urasi mana hata ya uwazili mkuu aliyopewa kama FADHIRA na rasia ailiyepo ilimshinda tena kwa kashfa nzito sasa tena kumpa nafasi kubwa ya kushika mstakabali wa wananchi wote with full power ni kuweka rehani Taifa
Vijana musishikwe na njaa ya muda mfupi ambayo inasahaulika kwa wewe kula a kwenda kujisaidia (kunya) mana chakula huwa hakiishi milele (kudumu kyk tumbo) katika tumbo lakini maamuzi sahihi huishi daima katika maisha yetu na ya vizazi vijavyo, ko kumshabikia LOWASA kama wanamziki uchwara KARA JEREMAYA NA WAPUMBAVU WENZIE kuendelea kumpigia kampeni za chini kwa chini hazijengi na inatakiwa vijana wote tuungane na tupinge upuuzi huu.
Maisha ya binadamu haya ishi baada ya wewe kufa ko mambo unayo yafanya sasa yana athali kubwa kwa unao waacha je itakuwaje ume mchaguwa mtu aliye wahi kuwa na tuhuma za upotevu wa mahela kibao ya selikari na akasababisha asara kubwa kwa taifa aje aharibu maisha ya mwanao au mjuu wako think big
MIMI NATOWA WITO KWA VIJANA WOTE WANAO TAKA KUINGIA KWENYE MTEGO WA KUSHAWISHIKA NA LOWASA SHTUKA HUYU JAMAA NI HATALI SANA KWA USTAWI WA NCHI YETU MIMI NITA MPINGA MPAKA MWISHO UNGANA NAMI
Stephano D.M 0713127214