Kiapo Bunge la katiba Kimeshaua ndoto ya serikali tatu

Kama huelewi uliza utaelimishwa nani kakuambia serikali 3 ni kuvunja muungano!. Kalaghabaho na maccm yenu.
 
Kama huelewi uliza utaelimishwa nani kakuambia serikali 3 ni kuvunja muungano!. Kalaghabaho na maccm yenu.

Nakuhurumia kwa kuwa hujui yaliyojificha we unadhani wangeuvunja moja kwa moja..nakwambia ipite 3 government kama Muungano utamaliza mwaka
 
Kama huelewi uliza utaelimishwa nani kakuambia serikali 3 ni kuvunja muungano!. Kalaghabaho na maccm yenu.
 
kama warioba akafie mbele wewe kafie nyuma mkeo akafie katikati
kwa taarifa yako sasa hakuna kura ya wazi ya kinafki ni ya siri muungano serikali 3
mjipange magamba wazi
 
kama warioba akafie mbele wewe kafie nyuma mkeo akafie katikati
kwa taarifa yako sasa hakuna kura ya wazi ya kinafki ni ya siri muungano serikali 3
mjipange magamba wazi

Umevurugwa aliyekuambia wewe,aliyekuambia kura ya siri ndo Muungano wa serikali tatu,ni,nani?
 
nyambafu huku kijijini hitaji lao ni dawa,maji,bei nzuri ya pamba,korosho..,ajira nk...hizi serikali tatu ni tamaa ya madaraka kwa politician

huyo nape na kinana wenu wamewadanganya vibaya! Serikali 3 ni mzigo na uroho wa madaraka!je mikoa na wilaya wanayo gawanya kila mwaka mtaniambiaje?
 
Hakuna anaeukataa muungano... Labda Maalim Sefu anaetaka kuturudishia utumwa wa kiarabu!
Bangoo, kuna nyoka anaetamani kuota miguu ndie wewe. Chuki yako na waarabu itakuuwa mdomo wazi. Laana ya Mungu owashukie mahasidi wa Zanzibar
 
Last edited by a moderator:
Kwa hiyo unataka kuwaaminisha watu kuwa kiapo hicho kilitungwa
kwa minajili hiyo?

Kiapo si mbadala wa yaliyomo kwenye ajenda,bali ni namna ambayo
mtu/watu wanaweka ahadi ya kuwa watiifu,waaminifu na waadilifu
mbele ya/ wote kwa pamoja ili waweze kutekeleza majukumu yao
kikamilifu.

Alafu hii habari ya muundo wa serikali sio inssue mzito sana ya kujadili
hapa au kutufanya tuvutane sana,hoja hapa ni namna ipi iliyo bora ya
kuandaa mfumo shirikishi wa kiutawala pasipo mikwaruzano.
 
kaka kingukitano, unitary Government haina jina jingine zaidi ya kuiita serikali ya muungano.

This simply means two or more sovereign states submitting their sovereign power to one government, unitary government.

inapotokea inapoonekana serikali moja imepoteza sovereinity wakati nyingine imebaki nayo ndipo shida inapoanzia kwa kuwa ile iliyo submitt ina presume kuwa controlled na nyingine hivyo nayo inaanza kujitafutia sovereinity yake.

katika mzingira haya lazima muungano ufe. Hili ndilo linalotokea leo, ambapo zanzibar wanaamini walisubmit sovereignty yao lakini Tanganyika haikufanya hivyo bali ilijibadilisha na kujiita Muungano.

ndiyo maana zanzibar wametengeneza katiba ya sasa yenye misingi ya sovereinty ili kujaribu kuregain its power and authority wanayodhani wamepoteza kwa Tanganyika.

kwa bahati mbaya kabisa tamaa za uongozi za wanasiasa wetu zinatupeleka kwenye serikali tatu ili kupanua wigo wa nafasi za uongo kuliko kutengeneza muungano yaani serikali moja ambayo unapoiongelea leo bila shaka unaonekana kama mwendawazimu.

To unity is more or less the same like to concentrate in one, unapotawanya unapasua au kudhoofisha, ni dhahili ndani ya serikali tatu hakuma muungano lakini ni ukweli usiopingika kuwa ndani ya serikali mbili hakuna maelewano mazuri labda ya kinafiki kwa kuwa kila mmoja anastrugle kutake over.

Ndiyo maana wakati wengine wanafikiria kuongeza mambo yamuungano kuwa mengi zaidi na hatimaye kupelekea yote kuwa ya muungano hivyo kuwa na kitu kimoja badala ya viwili wangine wanapambaya yapunguzwe ili hatimaye yamalizike kabisa hivyo muungano usiwepo kabisa.

Ndg yangu labda tu nisumup kwa kusema kuwa si serikali mbili wala tatu zinazoweza kuleta utangemano wa muungano labda tu ahueni ya muda ambayo maisha yake yatakuwa mafupi sana kabla ya chokochoko kuanza tena na hapo hapatakuwepo muungano.
 
Kwa mujibu wa kiapo cha kukiri kuwa mwaminifu kwa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania,kuitii jamhuri ni kutii aina ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar,

Warioba kafie mbele na shirikisho lako

Kidumu chama cha Hayati Nyerere (ccm)
Udumu Muungano wa serikali mbili.

CCM hoyeee,

Ukitukana rekodi zako zitaandikwa na malaika epuka matusi.

Lazima waape kwa katiba iliopo katiba ikipatikana kiopo kitabadilika.
 
nguruvi3 yeye hana mamlaka ya kutuchagulia idadi ya serikali wala hana uwezo wa kutupangia aina ya muungano tuyoutaka.

Ni kweli hana uwezo wa kutuchagulia lakini anao uwezo wakutuelimisha kwa kutuonyesha chimbuko la mtifuano juu ya muungano kwa mujibu wa katiba.
 
Kwa mujibu wa kiapo cha kukiri kuwa mwaminifu kwa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania,kuitii jamhuri ni kutii aina ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar,

Warioba kafie mbele na shirikisho lako

Kidumu chama cha Hayati Nyerere (ccm)
Udumu Muungano wa serikali mbili.

CCM hoyeee,

Ukitukana rekodi zako zitaandikwa na malaika epuka matusi.

Viroba si vilipigwa marufuku!!!!?
 
Huyo alie weka mda anafikilia kwa Kuinama,wewe unafikili kuapa kwa katba iliyopo ndo kutojadili Serikali tatu! Muungano waserikali MBILI je ni zipi kama si Serikali ya Tanganyika &Zanzibar! Jua kuwa Zanzibar ipo hivyo na Tanganyika ni lazma kama Kula!
 
Hawa wanaosema kuwa serikali tatu ni kuvunja muungano wanamatatizo!!!!!
Kimsingi kiapo hakina shida japo ni bora kiboreshwe kwa wakrito ili kiwe na nguvu. Wakrist o wasiape kwa Mungu jumla jumla bali Mungu katika Yesu Kristo.
Serekali 3 ni muhimu lakini pasiwepo na upendeleo wa upande wowote.Tanganyika na Zanzibar zichangie uendeshaji wa serekali ya muungano kwa uwiano maalum hususan pato la taifa.fursa zigawanywe hivyo hivyo.
HIVI MUUNGANO WA MKATABA NI KITU GANI
 
Back
Top Bottom