Fatma Bawazir
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 492
- 180
Ki2ko cha mwzi wa tv jamaa1 ali iba Tv akaibeba akaanza kukimbia nayo kumbe kwenye ile nyumba kulikuwa na mgonjwa wa akil akaanza kumkimbiza, yule mwzi kila akiongeza mbio na mwenzie huyu hapa,kuona hivyo yule mwz akasalit amri ikambidi asimame,yule mgonjwa wa akil akamsogelea kumwambia...................umesahau remote hii hapa!!!!@@@.....