Yani na mipesa yote ile unataka awe balozi? Kama ni kazi anayo ceo wa biashara zake. Kama ni kwenda ulaya mwenzio mashemeji zake weupe. Acha majungu karamagi now yupo anapiga pesa za miradi yake
Wapi Shamsa Patrick Mwangunga!
Kwani balozi Ngaiza ni marehemu? Au unamuongelea ngaiza yupi?Juzi kati nimesoma uzi kuwa mfalme kamteua masilingi kuwa balozi huko ulaya,historia inajirudia,marehemu balozi ngaiza,balozi kagasheki,balozi dr.d.kamala,sasa balozi w.masilingi,vp ndugu yangu karamagi???
Baadhi ya wabongo mnadhani kuwa balozi wa Tanzania nje ya nchi umeukata,ukweli ni kwamba nyingi ya balozi zetu hawana kazi za kufanya,kunaboa sana huko! Mtu kama Karamagi mwenye biashara zake za maana hawezi tamani kuwa balozi!