Kheri mchawi kuliko huyu dada.

Kheri mchawi kuliko huyu dada.

Uzembe wa mwanamke umemleteaje ukimwi baba au kijana wake? Halafu hakuna aliyefikiria huenda kijana ndio kamuambukiza msichana wa kazi halafu akamwambukiza baba yake?
Ooh kumbe sikumalizia sentensi yangu

Namaanisha uzembe wa kutofanya majukumu yetu na kubaki kuagiza kama muhindi mfano wa huyo mama.

Swala la HIV hapo ni kitendawili kujua aliemuambukiza mwingine
 
Uzembe wa mwanamke umemleteaje ukimwi baba au kijana wake? Halafu hakuna aliyefikiria huenda kijana ndio kamuambukiza msichana wa kazi halafu akamwambukiza baba yake?

Critical thinking.
 
Ooh kumbe sikumalizia sentensi yangu

Namaanisha uzembe wa kutofanya majukumu yetu na kubaki kuagiza kama muhindi mfano wa huyo mama.

Swala la HIV hapo ni kitendawili kujua aliemuambukiza mwingine
Bado haihusiani mpendwa. Ngono na tamaa ya ngono ndio iliyosababisha HIV ktk familia. Majukumu ya ndani ni responsibility ya wote, uvivu wa mke ni weakness lakini si chanzo cha HIV ndani ya familia. Kuna wangapi wanatembea na mabinti wa kazi bila kisingizio cha kuachiwa kazi. Kuna 2 issues very unrelating. Kwangu nimepata binti mpya sharp na mrembo. Mtoto wa ndugu yangu akaanza kuonyesha ukaribu. Bibi yake akamkalisha chini na kumwambia binti anaongea na simu hadi saa 8 usiku. So kama ana akili kijana atasikia, asiposikia hana wa kumlaumu kwa chochote. Mke kosa lake ni uvivu tu.
 
Bado haihusiani mpendwa. Ngono na tamaa ya ngono ndio iliyosababisha HIV ktk familia. Majukumu ya ndani ni responsibility ya wote, uvivu wa mke ni weakness lakini si chanzo cha HIV ndani ya familia. Kuna wangapi wanatembea na mabinti wa kazi bila kisingizio cha kuachiwa kazi. Kuna 2 issues very unrelating. Kwangu nimepata binti mpya sharp na mrembo. Mtoto wa ndugu yangu akaanza kuonyesha ukaribu. Bibi yake akamkalisha chini na kumwambia binti anaongea na simu hadi saa 8 usiku. So kama ana akili kijana atasikia, asiposikia hana wa kumlaumu kwa chochote. Mke kosa lake ni uvivu tu.
Nakubaliana nawe my dear, tatizo jingine kwa hawa wenzetu wanaendekeza vichwa vyao vya chini zaidi. Na matokeo yake ndio kama hayo,starehe ya dk5 inakuharibia ramani
 
Back
Top Bottom