Asante yethuuuuuNdugu housegirl amepindua famila upside down, baba, mama mtoto wa kwanza wote +ve.
Hahah Mkuu mtaje huyu mwingine maana inawezekana wengi ametuchosha na story zile zile kutwa kuchahuyu nae kila siku ana adisi kama yule mwingine
Wewe mwenyewe umesema mama alikuwa wakufoka unadhani alikuwa ana ujasiri wa hata kuongea naye kwahiyo asilaumiwe yeye binti lawama zimuendee mwenyew angejiweka karibu na binti yasingetokea hayoKwa binti mwenye maadili angemwambia mama mimi nimeshindwa kufanya kazi hapa, baba na kaka wananisumbua.
Pamoja na yote yaliyomtokea yalikuwa makubwa.Wewe mwenyewe umesema mama alikuwa wakufoka unadhani alikuwa ana ujasiri wa hata kuongea naye kwahiyo asilaumiwe yeye binti lawama zimuendee mwenyew angejiweka karibu na binti yasingetokea hayo
Unaelewa psychological effect ya kuishi na HIV?
moniccaHahah Mkuu mtaje huyu mwingine maana inawezekana wengi ametuchosha na story zile zile kutwa kucha
Sio kina baba? Maana waliopata TATIZO ni baba na kijana wake. Kwani kumsaidia kupika ilimaanisha wajiambukizishe ukimwi. Fuateni ahadi za ndoa....ooh kuwa mswalihina ni ushamba....mara ooh mwanaume ni polygamist in nature.Matatizo mengine wakina mama wanayatafuta wenyewe ni kweli kabisa.
Uzembe wa mwanamke umemleteaje ukimwi baba au kijana wake? Halafu hakuna aliyefikiria huenda kijana ndio kamuambukiza msichana wa kazi halafu akamwambukiza baba yake?Wanawake tuache uzembe usio wa lazima