Wabongo wana sifa ya kutwist mambo! Hebu rudi nyuma uangalie kuchaguliwa kwa Karume at the expense ya uamuzi wa Wazanzibari. Jawabu linaonekana wazi na badfala yake mnalaumu Wazanzibari. Si mlimchaguwa Karume makusudi kwa kujilinda na mwaka 2005, na matakwa yenu yalifanikiwa. Msijifanye Werevu na kuwaona Wazanzibari wajinga. Suwala hapa ni kuwa kwa vile Zanzibar ni koloni lenu basi mtaamuwa mtakavyo na baadae kuleta visi