Regia Mtema
R I P
- Nov 21, 2009
- 2,970
- 864
Naunga mkono hoja zamu kwa zamu.
Chogo wewe vipi ? Waliofanya hivyo ni kikundi kidogo kisicho na ridhaa ya wengi (CCM). Iwejeuseme Wazanzibari ndio walioamuwa na hata hivyo huu ulikuwa usaliti wa Bara si nyie mliokuwa wazi hadi vyombo vya habari kuwa mgombea huyo ni Mwarabu si Mtanzania?
Iwapo hili jambo likiwekwa Kikatiba si nyie na utashi wenu wala si wachache (CCM) watakaofanya ufisadi.
Nadhani mawazo ya huyu Seif Khatib ni ya mtu mwenye maradhi kwahiyo tumsamehe!! Mwaka 2005 alikuwa mbele kabisa kumpinga mzanzibari mwenzie asipate urais kwa kutumia hisia zao za kibaguzi, ati leo ndio analeta hoja kama hii!!
kuna mkristo zenji? maana urais tunapokezana waislam then mkristo, akitoka kikwete obvious rais ajae lazima awe mkristo so nafasi ya zenji kutoa mrithi wa kikwete inazidi kua finyu kwa ukweli kwamba zenji hakuna mkristo mwanasiasa wa kuja chukua nafasi iyo!
Nani kasema udini ni burgaining chhip yet Tz, tusifikishwe huko mkuu wangu hata Khatibu kidogo ameteleza ila kidogo inazungumzikakuna mkristo zenji? maana urais tunapokezana waislam then mkristo, akitoka kikwete obvious rais ajae lazima awe mkristo so nafasi ya zenji kutoa mrithi wa kikwete inazidi kua finyu kwa ukweli kwamba zenji hakuna mkristo mwanasiasa wa kuja chukua nafasi iyo!
kuna mkristo zenji? maana urais tunapokezana waislam then mkristo, akitoka kikwete obvious rais ajae lazima awe mkristo so nafasi ya zenji kutoa mrithi wa kikwete inazidi kua finyu kwa ukweli kwamba zenji hakuna mkristo mwanasiasa wa kuja chukua nafasi iyo!
tena walimsinvizia kuwa ni mwanachama wa HIZBUHawa mayakhe wa Visiwani wanachekesha kweli kweli! Katika mchakato wa uteuzi wa urais mwaka 2005 kulikuwapo mgombea mmoja wa urais wa muungano ambaye alikuwa very strong, lakini hao hao mayakhe walimfanyia fitina na ghilba kubwa hadi akaukosa uteuzi. Sasa hivi wanataka nini?
Hebu fikiria: Kwa hali ya kawaida huwa ni sifa kubwa kwa upande mdogo wa muungano (muungano wowote ule) kutoa Rais. Lakini hawa wenzetu wa visiwani hawako hivyo. Mwaka 2005 waliona kuwa ni bora upande wa Bara wakaendelea tu kutoa marais, 'sisi huku hatuna tatizo na hilo.'
Ni watu wa ajabu kweli kweli. Itachukuwa miongo mingi sana kabla Wavisiwani kupata mgombea strong kama yule wa 2005.
nachelea kuwaita huyu jamaa khatib..hajatumia akili...
nilipata kusema hapa sio siri ..zanzibar walipoteza nafasi ya kutoa rais mwaka 2005 ...pale walipoamua kama bloc kumpigia kura kikwete..akapita ....na kuamua kumtosa mzazibar SALIM AHMED SALIM...ambaye anakubalika sana ...
pale chimwaga..wajumbe wa zanzibar wangeamua kumpa kura zao SALIM basi angemwacha kikwete mbali au wangerudia....
kwani salim siku ile alipata kura almost 550...kikwete kura 940 ...na mwandosya 300..what happened ni kuwa kura 550 alizopata salim alipewa na wajumbe wa bara....tuseme mwaka 2005 kwa kura za bara salim na jk walipata kura sawa....alichomzidi mwenzake kikwete ni fitna...zilizopenyezwa na mtandao zanziba hadi wakaja kupiga kura chimwaga kwa kuapizana salim asipite[meneno mengii ooh hizbu..,etc]...wajumbe wa zanzibar walikuwa wanakaribia 500 na kura zao ndizo zilizomvusha kikwetee ......
sasa leo huyu ghatib ..ndio anakuja na upupu gani ....eti wakati waliikataa fursa yao mwaka 2005...kwa ajili ya ubaguzi wao...haya maneno akaongelee ******...aone aibu!!!
sioni candidate zanzibar anayeweza kukubalika huku kwetu hasa kwenye siasa za ushindani,..zaidi ya salim...na sioni kama kati ya miaka 20 ijayo kwa wanasiasa wenye miaka 25 kwenda juu toka zanzibar...sioni hata mmoja ambaye anaweza kuwa presidential material ......miaka 20 mbele...hata huyo salim ambaye anapendwa bara ....alianza kuonekana anafaaa kuwa rais tangu miaka zaidi ya 25 iliyopita!
Je, mgombea kutoka bara anaweza kugombea urais Zanzibar? Mbona sasa hivi hao wenyewe Wazanzibari wana sera za kujitengatenga (mafuta, uanachama wa FIFA, sovereignity, bendera yao, wimbo wao wa taifa, vitambulisho vyao, n.k).
...Wengi tu yakhe.