Fundi Mchundo
Platinum Member
- Nov 9, 2007
- 8,909
- 6,821
Kwa hiyo wagombea WOTE wa urais 2015 ni lazima watoke Zanzibar?
Amandla.......
Amandla.......
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wabongo wana sifa ya kutwist mambo! Hebu rudi nyuma uangalie kuchaguliwa kwa Karume at the expense ya uamuzi wa Wazanzibari. Jawabu linaonekana wazi na badfala yake mnalaumu Wazanzibari. Si mlimchaguwa Karume makusudi kwa kujilinda na mwaka 2005, na matakwa yenu yalifanikiwa. Msijifanye Werevu na kuwaona Wazanzibari wajinga. Suwala hapa ni kuwa kwa vile Zanzibar ni koloni lenu basi mtaamuwa mtakavyo na baadae kuleta visi
Nimekusoma mkubwa Fundi Utumbo!ila unachopaswa kukumbuka Karume alichaguliwa na watanzania bara waliofanywa watumishi wa majeshi yetu ya ulinzi na usalama,au unataka reference? sogea karibu na feri ulizia kwa watu wanaojihusisha na safari za Zanzibar utajua kwamba ushindi kwa hawa jamaa ni lazima.