Khan afungwa kwa kuuza Saa, Perfume na Dinner Set alizopewa kama Zawadi akiwa Waziri Mkuu. Hapa Tanzania Katiba inasemaje?

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
84,004
142,034
Nimeshangaa Sana aliyekuwa Waziri mkuu wa Pakistan kufungwa Jela miaka 3 Baada ya kuuza Zawadi mbalimbali alizokuwa anapewa akiwa ziarani

Khan aliuza Zawadi za Saa, Perfume na Dinner Sets na kujipatia Jumla ya US Dollar 500,000

Huu ndio Umaskini anaoupenda Tundu Lissu kwa viongozi hadi wanauza zawadi na bado wanafungwa!

--
Waziri Mkuu wa zamani Imran Khan alikamatwa siku ya Jumamosi baada ya mahakama ya mwanzo kumhukumu kifungo cha miaka mitatu jela, hukumu ambayo kuna uwezekano mkubwa ikamaliza nafasi yake ya kushiriki katika uchaguzi mkuu ujao.

Bw. Khan aliwekwa chini ya ulinzi na polisi kutoka nyumbani kwake katika mji wa mashariki wa Lahore mara baada ya uamuzi wa mahakama kutangazwa mjini Islamabad.

Alipatikana na hatia ya kuficha mali baada ya kuuza zawadi za serikali kinyume cha sheria.

"Madai dhidi ya Bw. Khan yamethibitishwa," alisema Humayun Dilawar, jaji aliyetangaza uamuzi huo katika Islamabad, mji mkuu wa Pakistan. Mahakama pia ilimtoza faini ya karibu $355.

Kesi hiyo inahusiana na uchunguzi wa tume ya uchaguzi ya nchi hiyo, ambayo ilipata Oktoba mwaka jana 2022 kwamba Bw. Khan alikuwa ameuza kinyume cha sheria zawadi alizopewa na nchi nyingine alipokuwa waziri mkuu na kuficha faida kutoka kwa mamlaka.

Bw. Khan amekana kufanya makosa yoyote.

Yeye na mawakili wake walikuwa wamemshtaki hakimu huyo kwa upendeleo na walitaka kesi hiyo ihamishwe kwa hakimu mwingine. Upande wa bw. Khan wana uwezekano wa kukata rufaa kwa kufuatana na haki hiyo kikatiba pia kisheria dhidi ya hukumu hiyo.
 
Nimeshangaa Sana aliyekuwa Waziri mkuu wa Pakistan kufungwa Jela miaka 3 Baada ya kuuza Zawadi mbalimbali alizokuwa anapewa akiwa ziarani

Khan aliuza Zawadi za Saa, Perfume na Dinner Sets na kujipatia Jumla ya US Dollar 500,000

Huu ndio Umaskini anaoupenda Tundu Lisu kwa viongozi hadi wanauza Zawadi na bado wanafungwa!

Kama ipo kwenye katiba yao ni sawa kufungwa.
 
Nimeshangaa Sana aliyekuwa Waziri mkuu wa Pakistan kufungwa Jela miaka 3 Baada ya kuuza Zawadi mbalimbali alizokuwa anapewa akiwa ziarani

Khan aliuza Zawadi za Saa, Perfume na Dinner Sets na kujipatia Jumla ya US Dollar 500,000

Huu ndio Umaskini anaoupenda Tundu Lisu kwa viongozi hadi wanauza Zawadi na bado wanafungwa!

Ikiwa ni sheria kikatiba acha akanyee debe
 

Hizo ni Zawadi za Taifa, mali za umma aliziuza. Vigogo wa nchi ya Tanzania na wale wa chama dola kongwe pia hujisahau kuwa wakichaguliwa au kuteuliwa basi au chama cha CCM kushika dola basi wanahaki ya kutumia au kujigawiwa mali za umma watakavyo.


Ujumbe wa umuhimu wa Katiba mpya katika operashani +255 ni kuwajibisha viongozi wasitumie vibaya madaraka yao wakiwa ofisini mfano kwa kupuuza katiba na sheria, kujipendelea, kuuza mali ya umma bila wananchi kushirikishwa, kugandamiza kupitia mbiyo wa madaraka yao kushurutisha mfumo wa haki jinai usitoe haki n.k

Mfano nchini Pakistani ripoti mpya zimeingiia JamiiForums zinasema kuwa aliyekuwa waziri mkuu ahukumiwa jela ....

5 Oktoba 2023
Lahore, Pakistan

Waziri mkuu afungwa jela kwa kuuza zawadi za taifa

1691414498741.png

Picha toka maktaba Khan akisaini hati za kuomba dhamana / bond aliposhitakiwa

Na Salman Masood
Inaripoti kutoka Islamabad, Pakistan

Tarehe 5 Agosti 2023, 5:47 a.m. ET
Waziri Mkuu wa zamani Imran Khan alikamatwa siku ya Jumamosi baada ya mahakama ya mwanzo kumhukumu kifungo cha miaka mitatu jela, hukumu ambayo kuna uwezekano mkubwa ikamaliza nafasi yake ya kushiriki katika uchaguzi mkuu ujao.

Bw. Khan aliwekwa chini ya ulinzi na polisi kutoka nyumbani kwake katika mji wa mashariki wa Lahore mara baada ya uamuzi wa mahakama kutangazwa mjini Islamabad.

Alipatikana na hatia ya kuficha mali baada ya kuuza zawadi za serikali kinyume cha sheria.

"Madai dhidi ya Bw. Khan yamethibitishwa," alisema Humayun Dilawar, jaji aliyetangaza uamuzi huo katika Islamabad, mji mkuu wa Pakistan. Mahakama pia ilimtoza faini ya karibu $355.

Kesi hiyo inahusiana na uchunguzi wa tume ya uchaguzi ya nchi hiyo, ambayo ilipata Oktoba mwaka jana 2022 kwamba Bw. Khan alikuwa ameuza kinyume cha sheria zawadi alizopewa na nchi nyingine alipokuwa waziri mkuu na kuficha faida kutoka kwa mamlaka.

Bw. Khan amekana kufanya makosa yoyote.

Yeye na mawakili wake walikuwa wamemshtaki hakimu huyo kwa upendeleo na walitaka kesi hiyo ihamishwe kwa hakimu mwingine. Upande wa bw. Khan
wana uwezekano wa kukata rufaa kwa kufuatana na haki hiyo kikatiba pia kisheria dhidi ya hukumu hiyo.
 
Hizo ni chuki za kisiasa na kukomoana zisizo na mashiko yoyote kwenye maendeleo ya nchi zaidi ya kuongeza chuki na uhasama.
Kiongozi anapewa zawadi ya perfume unategemea akaiweke kwenye hifadhi ya taifa ikae muda gani?
Khan alikuwa anaegemea BRICS, waliopo wanataka kubaki ubeberuni.
 
Ikiwa ni sheria kikatiba acha akanyee debe
Ni vizuri kufunga domo lako watu wakufikirie kuwa ni mjinga kuliko kupayuka na kuondoa kabisa mashaka. Viongozi wakuu wote duniani wana kiwango cha zawadi ambazo wanaweza kubaki nazo ikizidi hapo inabidi akabidhi serikalini. Hata zawadi ambazo anabaki nazo lazima atoe ripoti. Sasa Tundu Lissu anahusikaje hapa kama siyo uzuzu.
 
Kwanini asumbuliwe na vijiperfume wakati ametumia mamilioni yake kujenga hospitali na kutoa matibabu bure kwa walala hoi?
 
Nimeshangaa Sana aliyekuwa Waziri mkuu wa Pakistan kufungwa Jela miaka 3 Baada ya kuuza Zawadi mbalimbali alizokuwa anapewa akiwa ziarani

Khan aliuza Zawadi za Saa, Perfume na Dinner Sets na kujipatia Jumla ya US Dollar 500,000

Huu ndio Umaskini anaoupenda Tundu Lissu kwa viongozi hadi wanauza zawadi na bado wanafungwa!

--
Waziri Mkuu wa zamani Imran Khan alikamatwa siku ya Jumamosi baada ya mahakama ya mwanzo kumhukumu kifungo cha miaka mitatu jela, hukumu ambayo kuna uwezekano mkubwa ikamaliza nafasi yake ya kushiriki katika uchaguzi mkuu ujao.

Bw. Khan aliwekwa chini ya ulinzi na polisi kutoka nyumbani kwake katika mji wa mashariki wa Lahore mara baada ya uamuzi wa mahakama kutangazwa mjini Islamabad.

Alipatikana na hatia ya kuficha mali baada ya kuuza zawadi za serikali kinyume cha sheria.

"Madai dhidi ya Bw. Khan yamethibitishwa," alisema Humayun Dilawar, jaji aliyetangaza uamuzi huo katika Islamabad, mji mkuu wa Pakistan. Mahakama pia ilimtoza faini ya karibu $355.

Kesi hiyo inahusiana na uchunguzi wa tume ya uchaguzi ya nchi hiyo, ambayo ilipata Oktoba mwaka jana 2022 kwamba Bw. Khan alikuwa ameuza kinyume cha sheria zawadi alizopewa na nchi nyingine alipokuwa waziri mkuu na kuficha faida kutoka kwa mamlaka.

Bw. Khan amekana kufanya makosa yoyote.

Yeye na mawakili wake walikuwa wamemshtaki hakimu huyo kwa upendeleo na walitaka kesi hiyo ihamishwe kwa hakimu mwingine. Upande wa bw. Khan wana uwezekano wa kukata rufaa kwa kufuatana na haki hiyo kikatiba pia kisheria dhidi ya hukumu hiyo.
Kweny issue hizo bongo katiba haina kazi na hutupwa kapuni!!
 
Kweny issue hizo bongo katiba haina kazi na hutupwa kapuni!!

Kwa mbali naona Bandari pia ni kama zawadi ya taifa, yaani mali ya umma lakini jinsi mchakato ulivyoenda ni kama wenye viongozi wamekwenda nje ya mamlaka walizokasimiwa katika katiba ya Tanzania na wanaona ni halali kuzipiga mnada milele
 
Kwa mbali naona Bandari pia ni kama zawadi ya taifa, yaani mali ya umma lakini jinsi mchakato ulivyoenda ni kama wenye viongozi wamekwenda nje ya mamlaka walizokasimiwa katika katiba ya Tanzania na wanaona ni halali kuzipiga mnada milele
Acha tu
 
Nimeshangaa Sana aliyekuwa Waziri mkuu wa Pakistan kufungwa Jela miaka 3 Baada ya kuuza Zawadi mbalimbali alizokuwa anapewa akiwa ziarani

Khan aliuza Zawadi za Saa, Perfume na Dinner Sets na kujipatia Jumla ya US Dollar 500,000

Huu ndio Umaskini anaoupenda Tundu Lissu kwa viongozi hadi wanauza zawadi na bado wanafungwa!

--
Waziri Mkuu wa zamani Imran Khan alikamatwa siku ya Jumamosi baada ya mahakama ya mwanzo kumhukumu kifungo cha miaka mitatu jela, hukumu ambayo kuna uwezekano mkubwa ikamaliza nafasi yake ya kushiriki katika uchaguzi mkuu ujao.

Bw. Khan aliwekwa chini ya ulinzi na polisi kutoka nyumbani kwake katika mji wa mashariki wa Lahore mara baada ya uamuzi wa mahakama kutangazwa mjini Islamabad.

Alipatikana na hatia ya kuficha mali baada ya kuuza zawadi za serikali kinyume cha sheria.

"Madai dhidi ya Bw. Khan yamethibitishwa," alisema Humayun Dilawar, jaji aliyetangaza uamuzi huo katika Islamabad, mji mkuu wa Pakistan. Mahakama pia ilimtoza faini ya karibu $355.

Kesi hiyo inahusiana na uchunguzi wa tume ya uchaguzi ya nchi hiyo, ambayo ilipata Oktoba mwaka jana 2022 kwamba Bw. Khan alikuwa ameuza kinyume cha sheria zawadi alizopewa na nchi nyingine alipokuwa waziri mkuu na kuficha faida kutoka kwa mamlaka.

Bw. Khan amekana kufanya makosa yoyote.

Yeye na mawakili wake walikuwa wamemshtaki hakimu huyo kwa upendeleo na walitaka kesi hiyo ihamishwe kwa hakimu mwingine. Upande wa bw. Khan wana uwezekano wa kukata rufaa kwa kufuatana na haki hiyo kikatiba pia kisheria dhidi ya hukumu hiyo.
Hapa wenye immunity Hawashitakiwi kwani hulijui hilo 😅🙏
 
Nimeshangaa Sana aliyekuwa Waziri mkuu wa Pakistan kufungwa Jela miaka 3 Baada ya kuuza Zawadi mbalimbali alizokuwa anapewa akiwa ziarani

Khan aliuza Zawadi za Saa, Perfume na Dinner Sets na kujipatia Jumla ya US Dollar 500,000

Huu ndio Umaskini anaoupenda Tundu Lissu kwa viongozi hadi wanauza zawadi na bado wanafungwa!

--
Waziri Mkuu wa zamani Imran Khan alikamatwa siku ya Jumamosi baada ya mahakama ya mwanzo kumhukumu kifungo cha miaka mitatu jela, hukumu ambayo kuna uwezekano mkubwa ikamaliza nafasi yake ya kushiriki katika uchaguzi mkuu ujao.

Bw. Khan aliwekwa chini ya ulinzi na polisi kutoka nyumbani kwake katika mji wa mashariki wa Lahore mara baada ya uamuzi wa mahakama kutangazwa mjini Islamabad.

Alipatikana na hatia ya kuficha mali baada ya kuuza zawadi za serikali kinyume cha sheria.

"Madai dhidi ya Bw. Khan yamethibitishwa," alisema Humayun Dilawar, jaji aliyetangaza uamuzi huo katika Islamabad, mji mkuu wa Pakistan. Mahakama pia ilimtoza faini ya karibu $355.

Kesi hiyo inahusiana na uchunguzi wa tume ya uchaguzi ya nchi hiyo, ambayo ilipata Oktoba mwaka jana 2022 kwamba Bw. Khan alikuwa ameuza kinyume cha sheria zawadi alizopewa na nchi nyingine alipokuwa waziri mkuu na kuficha faida kutoka kwa mamlaka.

Bw. Khan amekana kufanya makosa yoyote.

Yeye na mawakili wake walikuwa wamemshtaki hakimu huyo kwa upendeleo na walitaka kesi hiyo ihamishwe kwa hakimu mwingine. Upande wa bw. Khan wana uwezekano wa kukata rufaa kwa kufuatana na haki hiyo kikatiba pia kisheria dhidi ya hukumu hiyo.
Pakistan siasa zao zinaharibiwa na jeshi lao, hilo ndio linataka kuhodhi nafasi zote za kiraia na ndio lilifanya juhudi kumuondoa madarakani. Ukiweka uchaguzi wa huru na haki Khan anarudi madarakani asubuhi na mapema ila sasa uchaguzi wao ni kama unaamuliwa na jeshi.

Khan anasumbua sababu ni popular kwa raia ila sio popular kwa establishment za Pakistan, vigogo, majenerali na wote wanaofaidia na mfumo huu. Pakistan ni nchi ngumu sana kutawala na almost hakuna Waziri Mkuu kamaliza term yake kwa amani.
Wakiongozwa na Military General ndio kabisa wanapoteana, hao huwa ndoto zao ni kujiandaa kupigana na India na kutoa tender ya silaha ambazo wana mgawo, na kupigwa na India huwa ni guaranteed.

Siku jeshi la Pakistan likijitenga na siasa ndio wataendelea. Hawaoni aibu kumteua Major General wa mizinga kuongoza idara ya hali ya hewa na hajui lolote kuhusu nafasi hiyo wakati kimamlaka ana maamuzi makubwa bila kupingwa. Mwisho wa siku ni performance mbovu kwa sekta zote, last year wamepata mafuriko kama 40% ya nchi wakafanya hovyo sana kwenye uokoaji na disaster relief. Uchumi una hali mbaya na walikuwa hawakopesheki hadi IMF sijui walifikia wapi.
China huwa haiachi kuwauzia na kuwakopesha silaha sababu wote ni maadui wa India.

Wana uchaguzi mkuu mwaka huu, inaaminika watajaribu kuusogeza na Khan anafungwa ili asiwepo kwenye uchaguzi.
 
07 Agosti 2023
Ilembula Njombe,
Tanzania

CHADEMA NJOMBE YATAKA VIONGOZI WAWAJIBIKE PIA KUBANWA NA KATIBA YA NCHI


Mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Njombe kamanda Rose Mayemba katika hotuba hii ya kuelimisha jamii kata ya Ilembula Njombe Tanzania kuhusu haki za kiraia kuchagua na kuwajabisha viongozi, CHADEMA mkoani Njombe imetoa elimu kwa umma ...
 
Hizo ni Zawadi za Taifa, mali za umma aliziuza. Vigogo wa nchi ya Tanzania na wale wa chama dola kongwe pia hujisahau kuwa wakichaguliwa au kuteuliwa basi au chama cha CCM kushika dola basi wanahaki ya kutumia au kujigawiwa mali za umma watakavyo.


Ujumbe wa umuhimu wa Katiba mpya katika operashani +255 ni kuwajibisha viongozi wasitumie vibaya madaraka yao wakiwa ofisini mfano kwa kupuuza katiba na sheria, kujipendelea, kuuza mali ya umma bila wananchi kushirikishwa, kugandamiza kupitia mbiyo wa madaraka yao kushurutisha mfumo wa haki jinai usitoe haki n.k

Mfano nchini Pakistani ripoti mpya zimeingiia JamiiForums zinasema kuwa aliyekuwa waziri mkuu ahukumiwa jela ....

5 Oktoba 2023
Lahore, Pakistan

Waziri mkuu afungwa jela kwa kuuza zawadi za taifa

View attachment 2711061
Picha toka maktaba Khan akisaini hati za kuomba dhamana / bond aliposhitakiwa

Na Salman Masood
Inaripoti kutoka Islamabad, Pakistan

Tarehe 5 Agosti 2023, 5:47 a.m. ET
Waziri Mkuu wa zamani Imran Khan alikamatwa siku ya Jumamosi baada ya mahakama ya mwanzo kumhukumu kifungo cha miaka mitatu jela, hukumu ambayo kuna uwezekano mkubwa ikamaliza nafasi yake ya kushiriki katika uchaguzi mkuu ujao.

Bw. Khan aliwekwa chini ya ulinzi na polisi kutoka nyumbani kwake katika mji wa mashariki wa Lahore mara baada ya uamuzi wa mahakama kutangazwa mjini Islamabad.

Alipatikana na hatia ya kuficha mali baada ya kuuza zawadi za serikali kinyume cha sheria.

"Madai dhidi ya Bw. Khan yamethibitishwa," alisema Humayun Dilawar, jaji aliyetangaza uamuzi huo katika Islamabad, mji mkuu wa Pakistan. Mahakama pia ilimtoza faini ya karibu $355.

Kesi hiyo inahusiana na uchunguzi wa tume ya uchaguzi ya nchi hiyo, ambayo ilipata Oktoba mwaka jana 2022 kwamba Bw. Khan alikuwa ameuza kinyume cha sheria zawadi alizopewa na nchi nyingine alipokuwa waziri mkuu na kuficha faida kutoka kwa mamlaka.

Bw. Khan amekana kufanya makosa yoyote.

Yeye na mawakili wake walikuwa wamemshtaki hakimu huyo kwa upendeleo na walitaka kesi hiyo ihamishwe kwa hakimu mwingine. Upande wa bw. Khan
wana uwezekano wa kukata rufaa kwa kufuatana na haki hiyo kikatiba pia kisheria dhidi ya hukumu hiyo.
Mnashangaa nini, mbona Mrema na Lissu walimburuza Mkapa kwa kupokea kiroba cha dhahabu na sh.90ml.
 
Back
Top Bottom