Rebeca 83
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 14,840
- 31,583
hello JF,
huyu msanii wa Kenya anaimba bwana.
Nashauri manager wake amtafutie connection collaboration na US rappers! Lol
Huyu mkaka sio wa level ya Africa!,mkikasirika mtajiju.
ila kubaki Kenya kwa kipaji hicho ni kutotumia talent ipasavyo
Jaribu, kuona kipaji chake humu KHALIGHRAPH JONES MWANAMZIKI WA KENYA AMBAYE YUKO JUUUUUU
huyu msanii wa Kenya anaimba bwana.
Nashauri manager wake amtafutie connection collaboration na US rappers! Lol
Huyu mkaka sio wa level ya Africa!,mkikasirika mtajiju.
ila kubaki Kenya kwa kipaji hicho ni kutotumia talent ipasavyo
Jaribu, kuona kipaji chake humu KHALIGHRAPH JONES MWANAMZIKI WA KENYA AMBAYE YUKO JUUUUUU