KFC SIELEWI kabisa

KFC SIELEWI kabisa

Naomba msaada wa hili .
Ukienda mfano bar au mgahawa unasikia harufu za kupikwa za vyakula na pia asubuhi namapema unaonavitu vinaletwa soda , maji, na vyakula vibichi. Ili vipikwe .

Ila ukienda KFC HUONI CHOCHOTE KILICHOPIKWA WANATOA TU KWENYE TREI ZAO MNACHUKUA . ILA KUONA WANAVYOPIKWA HAKUNAGA .

nyie hamshtuki??
Msaada
Ulitegemea ukifika KFC uone jiko kama kwa mama mboga zote?
 
Huku ukusikia mpeleekee fundi maiko supu na chapati tatu,


Huku muhudumu anaimba natesa aaah na ndiyo maana niko vzr iiih lengo anamchamba boss wake a mama wa chapati ..........


Huku mteja mie natega sikio nisikie kulkoni..... Misemo

Huku dada mwingine kakunja mdomo mithili ya kudaiwa Kodi ya mwezi akiosha vyombo huku muhudumu mwingine aliyevurugwa na mwenziwe akisimama mbele ya mteja huku mdomo kaukunja kama ngano iliyokandwa jana jioni

Cc Seran mamnyong'ode

Mjomba unauzoefu nao 😀🤣
 
Hapo unataka kuona mpishi ametoka jikoni jasho linamtiririka.
Amekaa kwenye kiti anakunywa Pepsi.

Unataka kuona mdada anaosha vyombo vichafu

Unataka kuona wamewekwa kwenye beseni kubwaa wanachanganya na viungo.
Mf. Melia ,kibo palace,mount meru, point by sheraton zote unao a chakula kilipotokea
 
Naomba msaada wa hili .
Ukienda mfano bar au mgahawa unasikia harufu za kupikwa za vyakula na pia asubuhi namapema unaonavitu vinaletwa soda , maji, na vyakula vibichi. Ili vipikwe .

Ila ukienda KFC HUONI CHOCHOTE KILICHOPIKWA WANATOA TU KWENYE TREI ZAO MNACHUKUA . ILA KUONA WANAVYOPIKWA HAKUNAGA .

nyie hamshtuki??
Msaada
Unakula chakula kilichopikwa mwaka jana hahaha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom