Tuangalie haya
1. Katiba mpya
2. Wizi wa mali ya umma -dowans, kagoda, uwanja wa ndege
3. Maji, afya, elimu, umeme -ccm imeshindwa kuhudumia tuwahoji -nguvu ya umma iseme nao
4. Mauaji arusha na unyanyasaji wa haki za binadamu
kesi hakuna ni propaganda za ccm kama wanataka kesi walioua wako wapi?
1. Katiba mpya
2. Wizi wa mali ya umma -dowans, kagoda, uwanja wa ndege
3. Maji, afya, elimu, umeme -ccm imeshindwa kuhudumia tuwahoji -nguvu ya umma iseme nao
4. Mauaji arusha na unyanyasaji wa haki za binadamu
kesi hakuna ni propaganda za ccm kama wanataka kesi walioua wako wapi?