Mwan mpambanaji
JF-Expert Member
- Apr 3, 2008
- 482
- 131
Ile kesi ya viongozi wa chadema pamoja na wanachama kukusanyika kinyume cha sheria,imepigwa kalenda hadi tarehe 22.2.2011"watu walikuwa wengi sana kuonyesha soliidarity forever,,,
Kuna tetesi kwamba Mahakama inataka iwafanyie kitu mbaya akina slaa, hivyo inaona ni vizuri wakipeleka mbele siku ya hukumu watu wakiwa wamesahau machungu yaliyotokea Arusha. Kwa mfano kwasasa ni vigumu sana mahakama kumpeleka Slaa miezi sita jela. Lakini hapo baadaye watu wakiwa wamepoa jazba inawezekana kufanya hivyo
Kuna tetesi kwamba Mahakama inataka iwafanyie kitu mbaya akina slaa, hivyo inaona ni vizuri wakipeleka mbele siku ya hukumu watu wakiwa wamesahau machungu yaliyotokea Arusha. Kwa mfano kwasasa ni vigumu sana mahakama kumpeleka Slaa miezi sita jela. Lakini hapo baadaye watu wakiwa wamepoa jazba inawezekana kufanya hivyo
Ile kesi ya viongozi wa chadema pamoja na wanachama kukusanyika kinyume cha sheria,imepigwa kalenda hadi tarehe 22.2.2011"watu walikuwa wengi sana kuonyesha soliidarity forever,,,
Naona bado wanakusanya ushahidi, maana ndiyo kauli zao! Au taarifa za kiintelejensia bado hazijafikia ndiyo maana mahakama hawajui wahukumu nini, licha ya kuwa sheria zipo wazi@
Chadema vipi tena wamekwenda mahakamani. Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe alisema Chadema wameishatangaza kutokwenda mahakamani kuhudhuria kesi hiyo kama moja ya sharti la kumaliza mgogoro wa Arusha, wameitaka Serikali kufuta kesi hiyo haraka ni moja kati ya masharti saba yaliyotolewa na Chadema.. wamekwenda mahakamani kufanyaje?
Chadema vipi tena wamekwenda mahakamani. Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe alisema Chadema wameishatangaza kutokwenda mahakamani kuhudhuria kesi hiyo kama moja ya sharti la kumaliza mgogoro wa Arusha, wameitaka Serikali kufuta kesi hiyo haraka ni moja kati ya masharti saba yaliyotolewa na Chadema.. wamekwenda mahakamani kufanyaje?
Umeambiwa kuhusu kesi hajaongelea watu kwenda mahakamani...unachotakiwa ni kuuliza je walienda mahakamani usi conclude mwenyewe...ushauri tu
mwenyekiti wa chama chetu hakutamka hayo, watu tu walileta huo uzushi humu jf, lakini siku ya mazishi ya mashujaa wa arusha nilikuwepo mwanzo hadi mwisho na mwenyekiti wetu mheshimiwa freeman mbowe hakutamka hayo
Ni fursa zuri tena uku Dodoma kwa kuhairisha iyo kesi kwani kesho uku Dodoma kutakuwa na maandamano 2kiwa na Viongozi wa juu wa Chadema ya kupinga mauaji ya Arusha, na kuhamasisha watu wa dodoma kuwa na moyo wa uzalendo kupigania taifa dhidi ya Dowans na gharama za umeme na kuwatoa mawazo mgando kuw ccm ndio chama pekee.Ile kesi ya viongozi wa chadema pamoja na wanachama kukusanyika kinyume cha sheria,imepigwa kalenda hadi tarehe 22.2.2011"watu walikuwa wengi sana kuonyesha soliidarity forever,,,
Mimi ningependa kujua: Je, Viongozi na wanachama wa CHADEMA wamehudhuria mahakamani?? Maana katika Tamko la Mhe Mbowe la tarehe 12 Januari, eneo la 4, anasema:
"Mashtaka ya uongo ya jinai yaliyofunguliwa dhidi ya viongozi wa ngazi zote wa CHADEMA, wanachama, wafuasi na wananchi wengine wote waliokumbwa na kumba kumba ya Jeshi la Polisi la Tanzania yafutwe bila masharti yoyote kwa sababu maandamano na mkutano wa hadhara uliozuiliwa yalikuwa halali kwa mujibu wa sheria husika za nchi yetu. Tunasisitiza katika jambo hili kwamba viongozi, wanachama na wafuasi wetu wote waliokamatwa na kufunguliwa mashtaka haya hawatahudhuria mahakamani tena kuhusiana kesi iliyofunguliwa dhidi yao hata kama kwa kufanya hivyo kutafanya wakamatwe na kurudishwa tena gerezani;"
Kama wameenda, tueleweje?????