IsayaMwita
JF-Expert Member
- Mar 9, 2008
- 1,127
- 140
Kesi ya msingi kuhusu tume huru ya uchaguzi inatarajiwa kufunguliwa mwishoni mwa wiki hii na mchungaji mtikila .
Kesi hii itakuwa na mvuto kwa watanzania na wadau wengine, je mahakama itakuwa tayari tena kumpa ushindi mwingine Mchungaji Mtikila? Na kama atashinda kesi hiyo, je tutarajie nini 2010?
Je inawezekana Muungwana anahusika moja kwa moja na kesi hizi, ili wakimpiga chini kule awe ameandaa mazingira mazuri huku nyuma ya jamvi? na kama si hivyo basi tuseme mahakama imekuwa huru kutenda kazi zake bila kuingiliwa na serikali?
Ama nyie mwalitazamaje hili waheshimiwa,
Kesi hii itakuwa na mvuto kwa watanzania na wadau wengine, je mahakama itakuwa tayari tena kumpa ushindi mwingine Mchungaji Mtikila? Na kama atashinda kesi hiyo, je tutarajie nini 2010?
Je inawezekana Muungwana anahusika moja kwa moja na kesi hizi, ili wakimpiga chini kule awe ameandaa mazingira mazuri huku nyuma ya jamvi? na kama si hivyo basi tuseme mahakama imekuwa huru kutenda kazi zake bila kuingiliwa na serikali?
Ama nyie mwalitazamaje hili waheshimiwa,