segwanga
JF-Expert Member
- Mar 16, 2011
- 2,789
- 729
Jibu hoja kama una maslah na huyo ****** jr hela za vituo vya kuuzia mafuta (lake oil),kusafrisha mafuta nchi jirani (congo na zambia),masemi trailer 100,yard za magari n.k kazipataje huyu mwendawazimu kwa muda wa miaka michache hyo? kwa kuwa unaingilia suala lisilokuhusu tuambie bas we fox (mbweha)Magwanda wakikosa la kusema huwa wanatia huruma. Kwanza kajibuni kesi ya madiwani, halafu wakili wenu wa Arusha ndio kama tulivyosikia.