Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,575
- 31,888
Mahakama ikifuata haki Mnyika ni mbunge wa ubungo. Jaji akitoa hukumu kwa maelekezo ya nje ya mahakama Mnyika siyo mbunge wa ubungo
Mungi.
Wewe kile kinachoifurahisha Chadema kwako ndio haki? Unatafsiri sheria za nchi kwa kutumia kichwa chako.
Tujaribu kuheshimu uhuru wa mahakama na tukubaliane na hukumu yoyote mahakama itakayotoa dhidi ya Mnyika.