Kesi Ya Mh Lisu , iwe hapa ndio Maakamani

Kesi Ya Mh Lisu , iwe hapa ndio Maakamani

Shocker

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2012
Posts
2,175
Reaction score
4,179
Embu wakuu tuiendeshe kesi hapa kivyetu, naamini kuna wapenzi wa sheria majambazi yaani tupo hata sisi tunaopenda kuhudhuria mahakamani kusomea ubishi na hoja.

Hakimu anza kutusomea kosa au Mheshimiwa Lisu anashitakiwa kwa kosa gani.

Mimi ni msikilizaji au nimhudhutiaji japo polisi walijaribu kutuzuia.

( Kupata picha kila mmoja ajitenge aiza uwe upande 'wanaoshaki au wanaotetea' ).
 
Tuchukulie mmoja wetu anasoma mashtaka ya kina ,wengine wawe upande wa utetezi,
 
Back
Top Bottom