Ndallo
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 7,619
- 4,292
Ni shamrashamra hapa katikati ya jiji la Arusha wafuasi wa chama cha demokrasia na maendeleo wamkisherehekea mbunge wao bwana Godbless Lema kuhusiana na ile kesi ya ubunge kuahirishwa mpaka juma3.
Nitawajuza nini kitaendelea kutokea hapa jijini Arusha.
Nitawajuza nini kitaendelea kutokea hapa jijini Arusha.