Kesi ya Mbowe vs Kesi ya Musiba

Kesi ya Mbowe vs Kesi ya Musiba

Kwenye mahakama Kuna tofauti ya judgment na Rulling. Judgment ni baada

Kwanza kesi ya Musiba imetolewa Judgment yani maamuzi ya mwisho baada ya ushahidi wote kusikilizwa. Kwa maana kesi ya Musiba ilisikilizwa yote na ushahidi kuchambuliwa na hukumu kutolewa.

Pili kesi ya Mbowe imetolewa Rulling, maana yake maamuzi madogo ndani ya kesi. Kwenye kesi ya Mbowe mahakama haikutia hatiani bali ilitoa rulling ya case to answer , maana yake maamuzi madogo ndani ya kesi ya jinai ya kumruhusu Mshitakiwa kujibu tuhuma dhidi yake na kubatilisha ushahidi uliotolewa.
Ruling ya Mbowe ilipotolewa kuwa ana kesi ya kunibu wafuasi wake walilalamika kuwa .mahakama inatumiwa na haijatenda haki. Hicho ndicho ninachohoji kwanini kwa Mbowe mahakama iwe imetumiwa lakini kwa Musiba judgemeñt iwe imetenda haki? Sio unafiki hio?
 
KESI YA MBOWE ILIKUWA YA MCHONGO KAMA UNA AKILI TIMAMU JIULIZE KWANINI DPP HAKUIONDOA KESI KABLA MAHAKAMA HAIJAMKUTA NA KESI YA KUJIBU WAKATI HUO HUO JIULIZE KWANINI AMEIONDOA BAADA YA MAHAKAMA KUMKUTA NA KESI YA KUJIBU.KUYAJUA HAYO MPAKA UWE NA AKILI KUBWA.
Hiyo ni tafsiri yako lakini zote ni hukumu. Mengine yote ni hoja.
 
S
Na huo ndio ukweli mkuu,huu ni mwendelezo wa vita kati ya wema na waovu.wapigaji na wapugwaji,musiba anachukiwa si kwa kauli zake tu,bali anachukiwa kwa sababu alikuwa anamtetea jpm,

Lkn pia angalia chadema namna walivyoshangilia pindi mbowe alipoachiwa huru,walisema mahakama imetenda haki,japo mbowe hakuachiwa na mahakama. Na ujionee mwenyewe baada ya sabaya kushinda kesi zake nyingi,chadema waliitukana mahakama matusi yoote kisa tu sabaya kaachiwa,hivyo unagundua hoja sio haki,hoja ni nani kapewa hiyo haki.
Shida yenu ni kwamba kila anayedai haki Tanzania basi huyo ni chadema huu ni upumbavu wa kisukuma. Mtu humjui akitoa msimamo wake juu ya jambo husika baasi huyo chadema. Hapo baada ya dk chache utamtaja lema,lisu nk. Wajinga nyie
 
Ktk kesi ya mbowe ya ugaidi,mahakama ilimkuta na kesi ya kujibu,mashabiki woote wa chadema waliilalamikia mahakama kwa kutumika kisiasa kukandamiza upinzani,wakasema mahakama za Tanzania ni hovyo kabisa na mahakimu hawana uweredi.

Lkn cha kushangaza,ktk kesi ya musiba v/s membe,wanachadema wanasema mahakama imetenda haki,na imetimiza wajibu wake sahihi kw kutafsiri sheria,
Unajiuliza,kumbe mahakama ikitimiza wajibu wake kwa chadema,inakuw ni tatizo,lkn kwa wengine ni sahihi,?
Utalinganisha kesi ya Mbowe na huyo shetani Musiba,aende chato
 
Ktk kesi ya mbowe ya ugaidi,mahakama ilimkuta na kesi ya kujibu,mashabiki woote wa chadema waliilalamikia mahakama kwa kutumika kisiasa kukandamiza upinzani,wakasema mahakama za Tanzania ni hovyo kabisa na mahakimu hawana uweredi.

Lkn cha kushangaza,ktk kesi ya musiba v/s membe,wanachadema wanasema mahakama imetenda haki,na imetimiza wajibu wake sahihi kw kutafsiri sheria,
Unajiuliza,kumbe mahakama ikitimiza wajibu wake kwa chadema,inakuw ni tatizo,lkn kwa wengine ni sahihi,?
Yaani wewe Bila kuitaja taja CHADEMA haupati nafuu kama vile umemwagiwa UPUPU.....na dawa ya UPUPU ni kuitaja taja CHADEMA NDIO unapata unafuu😀😀😆😆😊😊🤓🤓
 
Mmmh kuna nyuzi ukisoma unaona aibu mwenyewe, what kind of thinking is this?
 
Kesi ya Mbowe ni mwendesha mashtaka ndiye aliyeiondoa mahakamani. Uamuzi wa mwisho wa Mahakama ulikuwa “Mbowe ana kesi ya kujibu” lakini mahakama isingeweza kuendelea bila DPP kutaka.

Kwa Musiba ni habari nyingine kama mnavyojua. Msichanganye mambo.
 
Ruling ya Mbowe ilipotolewa kuwa ana kesi ya kunibu wafuasi wake walilalamika kuwa .mahakama inatumiwa na haijatenda haki. Hicho ndicho ninachohoji kwanini kwa Mbowe mahakama iwe imetumiwa lakini kwa Musiba judgemeñt iwe imetenda haki? Sio unafiki hio?
Hata Mimi niliona judge alikuwa controlled, kuna ushahidi gani ulitolewa kuonesha kwamba Mbowe alitenda ugaidi au alipaanga ugaidi?. Hata mtoto mdogo angejua hapa ni kesi ya mchongo.

Kwa Musiba alifanya hadharani kwa kuitisha waandishi wa habari kila siku na pia kuchapisha uzushi Kwenye magazeti yake watu wakiona.

Huwezi kuchukulia mtu aliyeonekana na kila mtu akikashfu ukamlinganisha na mtu ambaye kosas lake ni ugaidi na ugaidi Tanzania hamna.
 
Hiyo ni tafsiri yako lakini zote ni hukumu. Mengine yote ni hoja.
Hapana , ya Mbowe ilikuwa Rulling of case to answer sio judgment. Lakini kwa musiba ilikuwa judgment maana Trial yote ilimalizika.
 
Back
Top Bottom