- Thread starter
- #81
Mambo mengi kwa sasa hayako sawa...sijui kwa nini!
Mh. Mama Samia sio dhaifu bali huenda kuna wahuni wanamhujumu kiaina.
Takribani kwa masaa kadhaa kwa siku mbili napita ubungo junction mataa hayafanyi kazi na hakuna askari/traffic wa kuongoza magari. Yaani kila mtu anajieendea tu atakavyo.
Nawaza mbona mbona kama traffic lights nyingi zina back up ya solar system? Kulikoni kwenye vivuko vingi kwa sasa?
Watanzania tusihujumiane tafadhali
Udhwaifu ni pamoja na kukubali kuhujumiwa