Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 11,866
- 4,252
Kwa habari nilizozipata ni kuwa kuna mpango wa kuiyumbisha rufaa ya Lema kiasi cha kutokuwepo majibu ya busara hivyo kusababisha Lema kushindwa kesi.
Hii itampelekea Lema kuchukua uamuzi wa kufungua kesi upya wakati mnamo mwakani serikali ina mpango wa kuzifuta kesi zote za uchaguzi zilizokuwa na wingi wa viporo na abrakadabra za hapa na pale.
Lengo ni kuhakikisha kuwa Lema harudi tena Bungeni kipindi hiki kuelekea 2015, hivyo wana Arusha mjiandae kutokuwa na Mbunge hadi hapo.
Hizi hi habari mbaya kwa sisi wana cdm ila naamini wanaarusha hawatakuwa na upungufu wa kumbukumbu kuona kuwa tunakabiliwa na changamoto nyingi mbeleni.
Mungu ibariki Tanzania mpya inayonukia
Hii itampelekea Lema kuchukua uamuzi wa kufungua kesi upya wakati mnamo mwakani serikali ina mpango wa kuzifuta kesi zote za uchaguzi zilizokuwa na wingi wa viporo na abrakadabra za hapa na pale.
Lengo ni kuhakikisha kuwa Lema harudi tena Bungeni kipindi hiki kuelekea 2015, hivyo wana Arusha mjiandae kutokuwa na Mbunge hadi hapo.
Hizi hi habari mbaya kwa sisi wana cdm ila naamini wanaarusha hawatakuwa na upungufu wa kumbukumbu kuona kuwa tunakabiliwa na changamoto nyingi mbeleni.
Mungu ibariki Tanzania mpya inayonukia