Foffana
JF-Expert Member
- Oct 29, 2022
- 2,705
- 4,431
Habari za asubuhi wakuu
I hope mnaendelea vyema na Ujenzi wa Taifa letu
Kuna jambo moja naliwasilisha kwenu ili kupata mawazo yenu na ushauri wenu wakubwa zangu kuhusiana na suala hili linalonisibu.Nina imani nitapata msaada humu jukwaani
Kama ilivyo ada masuala ya chuoni kuna changamoto mbalimbali ambazo wanafunzi tunakumbana nazo na changamoto mojawapo nilokutana nayo ni suala la kuwa na incomplete katika mojawapo ya somo nililolisoma
Hii incomplete ilitokana na kutojaziwa marks kwenye test ambayo niliifanya lakini mtihani sikuwa nao mda huo kwa sababu kilipita kipindi kirefu tangu test ifanyike na marks kupandishwa kule kwenye mfumo
Kabla ya kuingia kwenye UE nilimfata Course coordinator kumuelezea hii issue akanambia nimechelewa sana na kilichobakia ni kulicarry hili somo.Nilijitahidi kumuomba niingie kwenye UE lakini msimamo wake ulikuwa ni kulicarry hili somo basi nikaona hamna namna acha nione itakuwaje baada ya UE results naona hata hyo carry hamna nakuta kuna incomplete
Suala nimefuatilia ila bado course coordinator ndo anaweka ngumu
Ushauri wenu Wakuu navukaje hiki kipengele
CHUO:UDSM
I hope mnaendelea vyema na Ujenzi wa Taifa letu
Kuna jambo moja naliwasilisha kwenu ili kupata mawazo yenu na ushauri wenu wakubwa zangu kuhusiana na suala hili linalonisibu.Nina imani nitapata msaada humu jukwaani
Kama ilivyo ada masuala ya chuoni kuna changamoto mbalimbali ambazo wanafunzi tunakumbana nazo na changamoto mojawapo nilokutana nayo ni suala la kuwa na incomplete katika mojawapo ya somo nililolisoma
Hii incomplete ilitokana na kutojaziwa marks kwenye test ambayo niliifanya lakini mtihani sikuwa nao mda huo kwa sababu kilipita kipindi kirefu tangu test ifanyike na marks kupandishwa kule kwenye mfumo
Kabla ya kuingia kwenye UE nilimfata Course coordinator kumuelezea hii issue akanambia nimechelewa sana na kilichobakia ni kulicarry hili somo.Nilijitahidi kumuomba niingie kwenye UE lakini msimamo wake ulikuwa ni kulicarry hili somo basi nikaona hamna namna acha nione itakuwaje baada ya UE results naona hata hyo carry hamna nakuta kuna incomplete
Suala nimefuatilia ila bado course coordinator ndo anaweka ngumu
Ushauri wenu Wakuu navukaje hiki kipengele
CHUO:UDSM