flowerss
JF-Expert Member
- Nov 25, 2017
- 640
- 590
Sio Kweli Mbona Watoto wengine hajawa kama Erasto Ni akili ya MTU.Na wajibu wa wazazi Ni kumtunza maana akiwa Tajiri Ni Bahati yake.Bibi achia Mali za wajukuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Erasto asingekuwa tajiri bila ya wazazi wake ,narudia tena Erasto asingekuwa tajiri bila ya wazazi wake
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app