Chrismoris
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 13,550
- 16,631
Walikuwa ni opponent wa Rais wa nchi fulani ya Africa. Kwa hio serikali ya Tanzania ikasema tutawashikisha adabu.Kwanini walibambikizwa?
Walikuwa ni opponent wa Rais wa nchi fulani ya Africa. Kwa hio serikali ya Tanzania ikasema tutawashikisha adabu.Kwanini walibambikizwa?
Mimi mkishaamini wote ntakuwa wa mwisho yenu mtanipigia simu baba na mwana wanaimba na kucheza lakini baba na mwana hawawezi baka pamojaMimi nitakua wa pili kutoka mwisho.. Yaani ukiamini wewe Mimi ndiyo nitafuatia.
Aliye ahidi kuwaachia na aliyetimiza ahadi hiyo mada hii haina tatizo nao.sio siasa ni miaka mingapi toka hukumu itolewe??ni miaka mingapi toka mgombea mmoja atumie swala hili kama hoja ya kuingilia ikulu??kwani muda wote huo tulishindwa kutafakari mpaka leo wameachiwa huru ndo tunakumbuka kuanza kuulizauliza?effect yake ipo wapi kwa hivi sasa?
jaribu kutofautisha kati ya mtu kushangilia kutokana mapenzi juu ya mtu na kushangilia kutokana na kitendo alichokifanya mtu. hawafurahii kwa vitendo alivyofanya lakini wengi wanafurahia kutokana na mapenzi waliyonayo kwa mtu huyo.Aliye ahidi kuwaachia na aliyetimiza ahadi hiyo mada hii haina tatizo nao.
Swali hapa ni jepesi tuu, kwa nini tunashangilia? Ni eitha hukumu ile ilikuwa ya uonevu au hukumu ile ilikuwa halali Ila sisi hatujitambui ndio maana tunashangilia!
mkuu naomba niweke nakala ya hukumu ,utaona kuwa jamaa hawakuonewa hukumu ilikuwa sahii kabisaNdugu Chakaza hii ishu ya kesi ya akina babu Seya ilishajadiliwa sana humu. Tuseme wazi tu kesi yao kwa kiasi kikubwa ina kila dalili za kubambikiwa na ndio maana pengine jamii imefurahi kuona wameachiwa huru.
Mna ushahidi na hilo? Mnatetea wabakaji na walawiti?Walikuwa ni opponent wa Rais wa nchi fulani ya Africa. Kwa hio serikali ya Tanzania ikasema tutawashikisha adabu.
Nimeangalia furaha ya watu waliokuwa wamehukumiwa kwa kosa kubwa la ubakaji na ulawiti tena wa watoto wadogo nimeshindwa kupata jibu.
Jee habari za matendo ya Babu Seya kwa wale watoto zilikuwa za kugushi na kuwa walifanyiwa mchezo mchafu? Au ni kuwa kwa sababu ya ushabiki tuu basi Watanzania wanasahau machungu waliyopata wale watoto, wazazi wao na ndugu? Kweli taifa linaweza kufikia hali ya kutojitambua kiasi hicho?
Kwa nini sasa ukweli usiwekwe wazi maana ukisoma ile barua ya Papii kwa Rais alikuwa haombi msamaha bali anaomba waachiwe huku akisisitiza kuwa hata Mungu anajuwa hawakutenda kosa. Nani nchi hii anaweza kuwapa wenzie mashtaka makubwa kiasi kile ili familia ipotee daima? Jee mtu au kikundi hicho hakiwezi kuua kabisa?
Sasa ukweli (ambao kina watu wanaujua) uwekwe wazi kwa faida ya jamii ili kuepusha visasi.
Lakini sitaki kuamini kuwa rais kakurupuka katika hili,najua ana vyanzo vya habari vya uhakika hivyo atakuwa aliambiwa kuwa hilo jambo lilikuwa na figisu ndani yake ndio maana kaamua kulihitimisha hivyo.Aliye ahidi kuwaachia na aliyetimiza ahadi hiyo mada hii haina tatizo nao.
Swali hapa ni jepesi tuu, kwa nini tunashangilia? Ni eitha hukumu ile ilikuwa ya uonevu au hukumu ile ilikuwa halali Ila sisi hatujitambui ndio maana tunashangilia!
watoto kumi kubakwa kwa siku tofuti tofauti na familia moja baba, mtoto ,mtoto harafu watu yaani majirani na watu wanaowazunguka {marafiki} wasijue mpaka serikali ijue duuuuuuhNdugu Chakaza hii ishu ya kesi ya akina babu Seya ilishajadiliwa sana humu. Tuseme wazi tu kesi yao kwa kiasi kikubwa ina kila dalili za kubambikiwa na ndio maana pengine jamii imefurahi kuona wameachiwa huru.
Nimeangalia furaha ya watu waliokuwa wamehukumiwa kwa kosa kubwa la ubakaji na ulawiti tena wa watoto wadogo nimeshindwa kupata jibu.
Jee habari za matendo ya Babu Seya kwa wale watoto zilikuwa za kugushi na kuwa walifanyiwa mchezo mchafu? Au ni kuwa kwa sababu ya ushabiki tuu basi Watanzania wanasahau machungu waliyopata wale watoto, wazazi wao na ndugu? Kweli taifa linaweza kufikia hali ya kutojitambua kiasi hicho?
Kwa nini sasa ukweli usiwekwe wazi maana ukisoma ile barua ya Papii kwa Rais alikuwa haombi msamaha bali anaomba waachiwe huku akisisitiza kuwa hata Mungu anajuwa hawakutenda kosa. Nani nchi hii anaweza kuwapa wenzie mashtaka makubwa kiasi kile ili familia ipotee daima? Jee mtu au kikundi hicho hakiwezi kuua kabisa?
Sasa ukweli (ambao kina watu wanaujua) uwekwe wazi kwa faida ya jamii ili kuepusha visasi.
Asante Bob,umenisaidia mambo mengi.
Mkuu hukumu haikuwa na tatizo wala mahakama haikuwaonea kwa sababu ushahidi uliotolewa mahakamani ulitosheleza kuwatia hatiani. Ila ishu ni kwamba kesi ilipikwa na ushahidi pia ulipikwa kiasi kwamba mahakama isingeweza kutowatia hatiani.mkuu naomba niweke nakala ya hukumu ,utaona kuwa jamaa hawakuonewa hukumu ilikuwa sahii kabisa
Leo unasemajeUshahidi wote uliopo ni kwamba ni kweli hao Nguza na wanawe walifanya huo ufirauni. Sijui sababu yao ya kufanya hivyo ilikuwa nini. Wanaharakati wa haki za watoto na za binadamu walishiriki pia kwenye hiyo kesi, na kuna mafaili ya kutisha sana. Watoto waliofanyiwa hivyo wapo na walitoa ushahidi, ambao kisheria ili kulinda haki za mtoto aliyelawitiwa na kumkinga dhidi ya unyanyapaa, haipaswi kufanywa hadharani na wala majina yao hayatolewi kwenye vyombo vya habari. Mafaili ya Muhimbili walikopimiwa hao watoto na ripoti za madaktari zipo. Yaani hii ilikuwa soo, hawakuwa na jinsi ya kukwepa.
Na huy si wa kwanza. Miaka ya mwisho ya 1980's alitokea fundi mshona nguo akiitwa Ali Maumba, alikuwa akiwafanyia watoto mchezo huohuo, na alilawiti zaidi ya 100, ila wengine wazazi wao waliwazuia wasijitokeze ili kukwepa aibu kwa familia zao. Ile kesi Maumba alihukumiwa kifungo, lakini alipokata rufaa alishinda kutokana na ushahidi "dhaifu" wa madaktari. Na ile kesi ya Maumba hadi leo inatumika kama reference ya kuwakumbusha madaktari umuhimu wa "ushahidi wa kitaaluma" (expert witness) kuandikwa vizuri. Rafiki zangu wanaharakati wamei-cite mara nyingi sana kwenye papers zao.
Hii ya kina Babu Seya, wanasheria walijaribu sana wakakosa pa kutokea. Na hata wakati wa rufaa, haikuwezekana, akaendelea kubaki hatiani.
Hizo habari za kuwasingizia kina nani sijui ni uvumi tu, kungekuwa na ukweli tungeshapata japo chembe ya ushahidi. Hao mnaowataja wakati huo hawakuwa na mamlaka yoyote dhidi ya mahakama, na hata katika kesi hakuna wakili au yeyote aliyeleta ushahidi wa kuwahusisha. Kama ni rushwa, sijui ni rushwa gani watu wangetembeza kila mahali kuanzia kwa watoto wa shule ya msingi, walimu wao, wenyeviti wa serikali za mitaa, askari polisi kwenye posts hadi kwa waendesha mashtaka, wanaharakati wa haki za watoto, mawakili, wafanyakazi wa idara za hospitali (wauguzi, watu wa records, maabara,madaktari, ili ati wote wafoji habari zinazoendana), hakimu mkazi kisutu, majaji wa mahakama kuu, majaji waheshimiwa sana wa mahakama ya rufaa, woote hao utawahonga vipi? Kazi ya ku-organize na ku-stage plot kama hii ni kubwa na haiwezi kuwa siri, lazima ziwepo flaws, hata kama ni fiction unatunga wasomaji wataona tu uongo ulipo!
Kwa hiyo sioni cha kujadili kuhusu Babu Seya na wanawe, alipata haki yake ya fair trial, akawa convicted, na sheria ikachukua mkondo wake. Akatumia pia haki yake ya appeal, nako hatukusikia malalamiko ya unfair trial, akabakia guilty as charged. Basi.
Huyooo manzi nae alikua muhanga wa tukio..!??? Anasemajeee yeye kweli alibakwaa au..Aisee hao marry mbunki na isabela sasa hv ni videmu viko on fire kamoja kamemsliza mzumbe ,ni mzuri hatari ,jamaa yake aliyekua anamla anasema hakuna kitu kama hicho ila dogo ni fundi sn kitandani japo jamaa kaoa lkn haachi kwa huo mchepuko
Huyooo manzi nae alikua muhanga wa tukio..!??? Anasemajeee yeye kweli alibakwaa au..
Ha ha ha haaaaa.Mimi mkishaamini wote ntakuwa wa mwisho yenu mtanipigia simu baba na mwana wanaimba na kucheza lakini baba na mwana hawawezi baka pamoja