Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 2,808
- 11,973
Kesi namba 456 (Jamhuri v Maxence Melo na mwenzake Micke William) ambapo kampuni ya Oilcom iliandikwa katika mtandao wa JamiiForums ikidaiwa kukwepa kodi na kuchakachua mafuta bandarini Dar, imetajwa tena leo Aprili 18, 2019
Upande wa Jamhuri umewakilishwa na Wakili Candid Nasua huku upande wa Utetezi ukiwakilishwa na Wakili Jebra Kambole na Jeremiah Mtobesya mbele ya Hakimu Thomas Simba.
Wakili wa Jamhuri, Nasua ameiambia Mahakama kuwa shauri hilo lilikuja mbele ya Mahakama kwa ajili ya upande wa utetezi kuanza kujitetea lakini yeye sio Wakili anayehusika na shauri hilo.
Wakili anayehusika na shauri hilo amepata dharura, hivyo Wakili Nasua ameomba siku nyingine kwa ajili ya kusikilizwa.
Washtakiwa wanatakiwa kuanza kujitetea baada ya kukutwa na kesi ya kujibu kwenye shauri hilo mnamo Mei 16, 2019.
Wakili wa Utetezi na Jamhuri pamoja na Hakimu wamekubaliana kuahirisha shauri hilo hadi !Aprili 18, 2019 kwa ajili ya kusikilizwa.
Kujua namna kesi hiyo iliyokuwa mara ya mwisho Machi 19, 2019 soma
Kujua yanayotokea kwenye kesi zote zinazohusiana na Mkurugenzi Mtendaji wa JamiiForums na Mwanahisa mwenzake, Micke William, soma
Upande wa Jamhuri umewakilishwa na Wakili Candid Nasua huku upande wa Utetezi ukiwakilishwa na Wakili Jebra Kambole na Jeremiah Mtobesya mbele ya Hakimu Thomas Simba.
Wakili wa Jamhuri, Nasua ameiambia Mahakama kuwa shauri hilo lilikuja mbele ya Mahakama kwa ajili ya upande wa utetezi kuanza kujitetea lakini yeye sio Wakili anayehusika na shauri hilo.
Wakili anayehusika na shauri hilo amepata dharura, hivyo Wakili Nasua ameomba siku nyingine kwa ajili ya kusikilizwa.
Washtakiwa wanatakiwa kuanza kujitetea baada ya kukutwa na kesi ya kujibu kwenye shauri hilo mnamo Mei 16, 2019.
Wakili wa Utetezi na Jamhuri pamoja na Hakimu wamekubaliana kuahirisha shauri hilo hadi !Aprili 18, 2019 kwa ajili ya kusikilizwa.
Kujua namna kesi hiyo iliyokuwa mara ya mwisho Machi 19, 2019 soma
Kesi namba 456 (Jamhuri vs JamiiForums): Wakili wa Jamhuri anayehusika na kesi apata dharura, Washtakiwa washindwa kuanza kujitetea!...
Kesi namba 456 (Jamhuri v Maxence Melo na mwenzake Micke William) ambapo kampuni ya Oilcom iliandikwa katika mtandao wa JamiiForums ikidaiwa kukwepa kodi na kuchakachua mafuta bandarini Dar, imetajwa tena leo Machi 19, 2019. Upande wa Jamhuri umewakilishwa na Wakili Daisy Makakala huku upande...
www.jamiiforums.com
Kujua yanayotokea kwenye kesi zote zinazohusiana na Mkurugenzi Mtendaji wa JamiiForums na Mwanahisa mwenzake, Micke William, soma
Muendelezo wa Kinachojiri Kisutu: Kesi za Jamhuri dhidi ya JamiiForums
Habari Wakuu, Shukrani za dhati kwa wale wote ambao wamekuwa nasi katika safari hii toka Disemba 2016 hadi sasa. Kuweka wepesi kwa wadau mbali mbali ambao wamekuwa wakifuatilia mienendo ya Kesi zinazowakabili Mkurugenzi Mtendaji, ndugu Maxence Melo na mwanahisa wa Jamii Media ndugu Micke...
www.jamiiforums.com