inasemekana kuwa kuna kesi imefunguliwa mahakamani na Wamasai dhidi ya Wasukuma wakidai eti wao ndo wenye hati miliki ya ngmbe wote tanzania.
hiyo kesi imefikia wapi
Masai wamekata rufaa eti majaji hawakuwatendea haki kwa kuwa wao (majaji) wote ni wasyonji.
Imeamuriwa majaji wawe kabila neutral na wameteua wakurya, nusu warinchoka na nusu wanchare.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.