The Dude
JF-Expert Member
- Sep 14, 2011
- 1,029
- 453
- Thread starter
- #21
Tulijaribu sana kulinda kura mwaka jana lakni unajionea yaliyotokea'kumbuka tume ya uchaguzi ndio walewale'tungetumia nguvu ya maandamano na migomo'hakuna njia nyingine'kuchelewa kwetu kufikiri kutatupeleka kubaya
Tatizo migomo na maandamano wanaoathirika ni innocent civilians..wakati bigwigs wanakula bata.
Unakumbuka ya Mbowe na Chadema pale NMC arusha?