fundiaminy
JF-Expert Member
- Jun 4, 2009
- 354
- 52
inasemekana kesho ni siku ya choo duniani.yaani world toilet day..dah! Wazungu nao bana.nipe maoni kuhusu hio day.
Kama hikiIpo poa kwani nyumba bila choo hakuna ki2 bana so cku hii nadhani ni kuhimiza kila kaya kuwa na choo imara na cha kisasa.
Aaah, hebu acha urongo wewe. Mi napafahamu hapo liliangukia moja ya mabomu (kombora) ya Gong La Mbot. Halafu wewee! Hapo kwa Uncle wangu na ndiyo huyo anafanya assessment hapo.Kama hiki
![]()
uzuri wa nyumba ni choo na choo chenyewe kisijae.Nalog off