SafariNipo na Wanangu 17 na tunatoka wote, wewe je?
Naomba kesho tutoke kwa wingi sana, tutokeni kwa wingi sana ndugu zangu
Maandamano ni haki yetu kikatiba
Kama nilivyotoka tarehe 29 kesho nitatoka!!
Uombe dua Sana urudi Salama kama mara yakwanzaNipo na Wanangu 17 na tunatoka wote, wewe je?
Naomba kesho tutoke kwa wingi sana, tutokeni kwa wingi sana ndugu zangu
Maandamano ni haki yetu kikatiba
Kama nilivyotoka tarehe 29 kesho nitatoka!!
Unaanzaje kuacha chuma sasa.Mimi binafsi kesho natoka na chuma
Nikifa niende na mjinga mmoja
hiyo idadi ya watu 100 ni mwalimu wa madrasa ya wapiga dufu au mwalimu kwaya ya RCMie na wanangu takribani 100 tumesema hatutoki, tutaheshimu maelekezo ya serikali!!
Tokeni. I hope umeacha will.Nipo na Wanangu 17 na tunatoka wote, wewe je?
Naomba kesho tutoke kwa wingi sana, tutokeni kwa wingi sana ndugu zangu
Maandamano ni haki yetu kikatiba
Kama nilivyotoka tarehe 29 kesho nitatoka!!
Safi sana:Mie na wanangu takribani 100 tumesema hatutoki, tutaheshimu maelekezo ya serikali!!
Wanangu yaani washikaji sio watoto wa kuzaahiyo idadi ya watu 100 ni mwalimu wa madrasa ya wapiga dufu au mwalimu kwaya ya RC
🤣🤣🤣Mboga Mboga fcKwanini tusitoke sasa.
Wasiotoka labda kina mama wazee watoto na michawa ya mbogamboga.
Wenye akili timamu nguvu na uwezo kesho wote tunatoka.
Umeandika nini sasa wewe bwabwa? Kwani kuna mtu kakuuliza?Mie na wanangu takribani 100 tumesema hatutoki, tutaheshimu maelekezo ya serikali!!
Mapema kabisa asubuhi tumeshajaa. Uelekeo ikuluNipo na Wanangu 17 na tunatoka wote, wewe je?
Naomba kesho tutoke kwa wingi sana, tutokeni kwa wingi sana ndugu zangu
Maandamano ni haki yetu kikatiba
Kama nilivyotoka tarehe 29 kesho nitatoka!!