Naipendatz
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 5,091
- 8,243
Natoa wito kwa wananchi wote waliochoshwa na mfumo mbovu wa ccm kesho tukusanyike kwa wingi pale makao makuu ya Chadema kinondoni-ufipa tumsindikize mheshimiwa sana waziri mkuu mstaafu Lwaigwanan Mkuu, Mbunge wa Monduli, Nguli wa siasa za Tanzania, Mtu anayechukia umaskini, Edward Ngoyai Lowassa kuchukua fomu za kugombea urais kupitia chama makini cha Chadema, ikiwa kama ni utaratibu tu kwani yeye ameshakuwa Rais wa nchi hii ambayo akina Riz1 walishajitangazia umiliki wake