OSOKONI
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 10,965
- 5,336
Hakika kesho saa Kama hizi lema atakuwa pamoja nasi uraianiNtafurahi mahakama ikimuona na hatia na kumpiga mvua za kutosha maana wana ufipa wanaonaga mahamani ni kwao na hakuna madhara
Hakika kesho saa Kama hizi lema atakuwa pamoja nasi uraianiNtafurahi mahakama ikimuona na hatia na kumpiga mvua za kutosha maana wana ufipa wanaonaga mahamani ni kwao na hakuna madhara
tunaangamia kwa kukosa maarifa" ...haijaandikwa kwamba 'tunaangamia kwa kukosa nguvu au silaha'.Wakuu salaam!
Nimepitapita humu ni waone wafuasi wa yule mahabusu wa kisiasa uchwara kama wanamkumbuka.Mahabusu wa matusi na kujidai ni siasa wenzake wamemsahau wanasubiri siku za mahakamni tu wahamashishane.Mwenzenu kesho yupo kizibani kesho kamuoneni,na siku hizi hafungi tena anakula kama kawa!