Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu hapendi matusi na ugonvi atapiganiwa na shetani tu!Mungu endelea kumpigania Godbless Lema.
Na mamlaka ni mungu na gawa pia!Aluta Continua Victory Ascerta..daima giza halikuwahi na halitiwahi kushinda NURU sauti ya wengi ni sauti ya Mungu.
Tuko pamoja sana makamanda wote
Mjitokeze kwa wingi kushuhudia mwanaume anavyorudishwa rumande kishujaa!Kesho tarehe 22-11-2016 Mbunge wa Arusha Mjini Kamanda Godbless Lema atafikishwa mahakamani kutokea Mahabusu kisongo,wananchi tujitokeze kwa wingi kumtia Moyo Mbunge wetu.
Mafanikio ni mazuri maana atashika adabu!!Sijui hiyo timu iliyoamua kuzuia dhamana pamoja na hakimu kuirithia inatathimini vipi 'mafanikio' yao katika hili!
Ni lini alikutukana? Kumbuka hii ni kesi na mahakama haijamtia hatiani so far he is innocentMkijitokeza mwambieni aache matusi na ushamba
Kwa hiyo??Alafu ndio siku yangu ya kuzaliwa.