DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 31,676
- 81,656
Mimi sio shabiki wa mpira Ila nimeamua kufanya utabiri
Simba anashinda kesho nimeona hivyo
Simba anashinda kesho nimeona hivyo
Uko sahihi lakini ungetupenyezea angalau idadi ya magoli mkuu.Mimi sio shabiki wa mpira Ila nimeamua kufanya utabiri
Simba anashinda kesho nimeona hivyo
Sijaona kuhusu magoli maana Mimi nimetaza ubao unaonesha simba ameshinda tayari.Uko sahihi lakini ungetupenyezea angalau idadi ya magoli mkuu.
😁😁😁Fungua kilinge, Dr.
Ungeweka ka ahadi flan ili tukutafute gemu ikiisha boss... Munatoa Nini??Mimi sio shabiki wa mpira Ila nimeamua kufanya utabiri
Simba anashinda kesho nimeona hivyo
kesho hampigwi sana ni mbili au tatu msijal kesho mkono hakunaMechi ya kesho kila nikikumbuka Mara tatu zote yaliyotukuta basi kila nikiwaza nahisi kuishiwa nguvu tu .
Na ikawe Kama usemavyo nitafurahi sana
Sio kweli mzee Yanga atashindaMimi sio shabiki wa mpira Ila nimeamua kufanya utabiri
Simba anashinda kesho nimeona hivyo
Simba ikishinda nitachoma moto nchi nzimaMimi sio shabiki wa mpira Ila nimeamua kufanya utabiri
Simba anashinda kesho nimeona hivyo