figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,890
Kesho kikwete atahutubia taifa katika sherehe za kuhitimisha mbio za mwenge zitakazo fanyika uwanja wa uhuru jijini dar es salaam.
katika sherehe hizo mwenge utakabidhiwa kwa rais halafu naye ataukabidhi kwa kikosi maalum kitakachoenda kuupandisha kwenye mlima kilimanjaro.
watoto wa halaiki zaidi ya 600 ambao watapamba sherehe hizo. mia
katika sherehe hizo mwenge utakabidhiwa kwa rais halafu naye ataukabidhi kwa kikosi maalum kitakachoenda kuupandisha kwenye mlima kilimanjaro.
watoto wa halaiki zaidi ya 600 ambao watapamba sherehe hizo. mia