Kesho nchi itasimama, CC ya CHADEMA itakutana!

Kesho nchi itasimama, CC ya CHADEMA itakutana!

Yericko Nyerere

JF-Expert Member
Joined
Dec 22, 2010
Posts
17,018
Reaction score
20,489
Tarajia kishindo kikuu kesho, mwelekeo mpya wa siasa za Tanzania utajipembua.

Kesho Kamati Kuu ya Chama Kikuu cha Upinzani Nchini Tanzania inakaa kitako kujadili mambo kadhaaa ya kisiasa na mwenendo mzima wa nchi,

Chama cha siasa kinachojiandaa kushika dola silaha kubwa ni vikao. Kikao hiki kitaongozwa na Mwenyekiti nguli wa chama hiki Mh Freeman Mbowe.

Na Yericko Nyerere
IMG_20190329_181654_575.jpg
 
Tarajia kishindo kikuu kesho, mwelekeo mpya wa siasa za Tanzania utajipembua.

Kesho Kamati Kuu ya Chama Kikuu cha Upinzani Nchini Tanzania inakaa kitako kujadili mambo kadhaaa ya kisiasa na mwenendo mzima wa nchi,

Chama cha siasa kinachojiandaa kushika dola silaha kubwa ni vikao. Kikao hiki kitaongozwa na Mwenyekiti nguli wa chama hiki Mh Freeman Mbowe.

Na Yericko NyerereView attachment 1057350
Polisi watakesha mtaani mwetu.
 
nchi itasimama? kwani sasa hivi imekaa? CHADEMA ndio waisimamishe nchi? tukiwaambia CHADEMA ni SACCOS mnapinga, angalieni sasa mnaenda kufanya kikao mwishoni mwa mwezi wa tatu .unajua hiyo inamaanisha nini kihasibu? mnaenda kufunga mahesabu ya robo ya kwanza mwaka wa SACCOS yenu
 
Tarajia kishindo kikuu kesho, mwelekeo mpya wa siasa za Tanzania utajipembua.

Kesho Kamati Kuu ya Chama Kikuu cha Upinzani Nchini Tanzania inakaa kitako kujadili mambo kadhaaa ya kisiasa na mwenendo mzima wa nchi,

Chama cha siasa kinachojiandaa kushika dola silaha kubwa ni vikao. Kikao hiki kitaongozwa na Mwenyekiti nguli wa chama hiki Mh Freeman Mbowe.

Na Yericko NyerereView attachment 1057350
Tunasubiri matamko yasiyo na mashiko
Kweli Dunia itasimama Kwa kikao cha Kesho
Chama nguli oyeeee,kila la kheri
 
Yaan nchi isimame kisa CC ya chadema? Acha upuuz Yericko

'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
 
Tushawazoea ,wazee wa tunalaani

Hamna vitendo ,hicho kikao cha kesho hakuna jipya, mngekuwa mnamaana tusingefika hapa tulipo

Chadema kimejifia ,kwasasa chama cha kujiunga nacho ni ACT WAZALENDO

'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
 
Tarajia kishindo kikuu kesho, mwelekeo mpya wa siasa za Tanzania utajipembua.

Kesho Kamati Kuu ya Chama Kikuu cha Upinzani Nchini Tanzania inakaa kitako kujadili mambo kadhaaa ya kisiasa na mwenendo mzima wa nchi,

Chama cha siasa kinachojiandaa kushika dola silaha kubwa ni vikao. Kikao hiki kitaongozwa na Mwenyekiti nguli wa chama hiki Mh Freeman Mbowe.

Na Yericko NyerereView attachment 1057350
Mkuu Yeriko, kwanza asante kwa taarifa hii, hivyo na sisi kesho tukae mkao wa kula kusubiria nchi kusimama kwa kishindo kikuu, pili hakuna ubaya wowote kwa mtu yoyote kuwa na too great expectations, kuwa kesho nchi itasimama kwa kishindo kikuu, ila swali la kujiuliza ni kwa Chadema ipi hiyo ya kusimamisha nchi kwa kishindo kikuu ?, kama ndio kwa Chadema hii hii ninayoifahamu mimi, then take it from me, there will be nothing new cha kusimamisha nchi kwa kishindo kikuu kwa sababu kwa sasa karibu top brass yote ya uongozi wa juu wa Chadema, imeshehenezwa na a saturated solution, it can take no more than what it can, hivyo haina watu wenye that capacity ya kuisimamisha nchi kwa kishindo kikuu.

Kama ni kusimamisha nchi kwa kishindo kikuu, ilikuwa ni ile, 2015. Sasa kama mlishindwa pale, kwa sasa there is nothing big you can do cha kusimamisha nchi kwa kishindo kikuu now simply because kumetokea a beast ambae ni game changer, amechange all the political game of this country, and there is nobody and nothing anyone or anybody can do now kwa sababu Chadema toka zamani tuliwaambia humu

https://www.jamiiforums.com/threads...angi-na-hamtajipanga-2015-ni-ccm-tena.624364/

Japo mimi sina chama kabisa lakini kuna vitu huwa nawaambia watu humu na siku nikikutana nao huwa nawaambia face to face mfano

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/87532-ccm-imechokwa;-chadema-haijajipanga.html

https://www.jamiiforums.com/threads...i-zisikilizwe-zizingatiwe-zisipuuzwe.1352784/

https://www.jamiiforums.com/threads...us-credible-mature-enough-opposition.1249668/

Hivyo there will be nothing cha kusimamisha nchi kwa kishindo kikuu zaidi, the only thing kwa Chadema sasa and all serious opposition in Tanzania ni ku open up kwa ushirikiano wa vyama kuungana na kujenga umoja wenye nguvu ili kutengeneza a winning coalition against the giant beast, to start with kutangaziwa Chadema kujitoa iliyokuwa UKAWA na kuanzisha ushirikiano mpya wa Chadema na ACT, na kukaribisha vyama vingine serious opposition na sio vikaragosi.

P
 
Hiki ni kichekesho, yaani nchi isimame kwa sababu CC ya Chadema inakutana?

Nilitegemea Chadema wangesimamisha nchi Mwenyekiti wa chadema, Mbunge wa jimbo la Hai na mkuu wa kambi ya upinzani bungeni Freeman Mbowe alipoishi mahabusu miezi kadhaa baada ya kunyimwa dhamana.
 
Tutaendelea tu kuwashauri hata kama hamtaki. Iwapo mwaka huu mtafanya uchaguzi wa ndani wa chama chenu, mumshauri kamanda Mbowe asigombee kwa mhula wa nne mfululizo hata kama ana nguvu na uwezo kiasi gani ili kuwanyamazisha lumumba na pia kujenga msingi imara wa kuachiana madaraka na kuondoa ile dhana ya kwamba chadema ni ya watu wa kaskazini.

Mpeni John Heche uenyekiti maana alishawahi kuwa mwenyekiti wa bavicha Taifa na alifanya kazi nzuri. Katibu pia abadilishwe na kupewa yeyote yule mwenye haiba kwa wanachama. Pia muanze mkakati wa kujenga ofisi za chama kuanzia makao makuu mpaka vijijini. Mlisha anza kuaminiwa na watanzania wapenda mabadiliko (ushahidi ni uchaguzi wa 2015) na hivyo si vizuri kuwakatisha tamaa kwa kufanya siasa nyepesi nyepesi zinazoenda sambamba na matukio.
 
Tushawazoea ,wazee wa tunalaani

Hamna vitendo ,hicho kikao cha kesho hakuna jipya, mngekuwa mnamaana tusingefika hapa tulipo

Chadema kimejifia ,kwasasa chama cha kujiunga nacho ni ACT WAZALENDO

'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
Mku mimi ni ccm ila amini ninachokuambia ni kwamba Chadema hakita kufa bali kitazidi kuimarika zaidi.
Hivi kwa uelewa wako ww unavyoona hawa wanachama wa cuf ambao waelekee wapi na baada ya kujua wasisi wa ACT ni akina nani kwa mbinu ipo wataelekea wapi
Hata hii mizengwe unaona inayofanyika ili hawa wasikabidhiwe kadi ni mbinu pia ambayo itafaidisha vyama viwili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tarajia kishindo kikuu kesho, mwelekeo mpya wa siasa za Tanzania utajipembua.

Kesho Kamati Kuu ya Chama Kikuu cha Upinzani Nchini Tanzania inakaa kitako kujadili mambo kadhaaa ya kisiasa na mwenendo mzima wa nchi,

Chama cha siasa kinachojiandaa kushika dola silaha kubwa ni vikao. Kikao hiki kitaongozwa na Mwenyekiti nguli wa chama hiki Mh Freeman Mbowe.

Na Yericko NyerereView attachment 1057350

You must be joking...kwanini nchi isimame? Maalimu kaacha CUF, Mtatiro kapotea kusikojulikana na nchi inasonga mbele.
 
Back
Top Bottom