Kesho nakula X wangu baada ya miaka saba

Kesho nakula X wangu baada ya miaka saba

Wakati unaenda kumla X wako ujue na wewe kuna njemba limeshapanga na huyo demu/mke unayemuacha so ngoma draw hakuna aliyepoteza
 
Sijawahi muelewa mwanaume mwenzangu ambaye anajisifia umalaya, huwa wana shida kichwani..pole sana, nenda kafanyiwe ushauri nasaha, uwe sawa.


Ni ushenzi na upumbavu, period.
Mwanaume anayesifika ama kujisifia kukitembeza sana ujue ana mapungufu makubwa sana ya kutoridhisha mwanamke anayekuwa naye...

Hivyo anafunika udhaifu huo kwa kujibrand kuwa ni kitombi
 
Na furushi moja eti linakuja jisifia hapa kutembea na ex, halafu ex mwenyewe mke wa mtu, na wewe unaona umeyapatia maisha??? Mwanamke ana magoli mawili ya kidume chenzio, Bruh' hujiskii hata kinyaa..??
Hahaha MTALAKA HATONGOZWI
 
Tumepiga game fresh hamna cha kufumaniwa wala nini, bibie keshafika home mwepesiiii sasa hivi anamuandalia Hubby msosi.
Kesho hame tena kama kawa mpaka jumamosiiiiii.Mliokuwa mnaniombea mabaya mmeumbuka
 
Potelea mbali, liwalo na liwe.....


Alisikika mgegedaji wa X akijisemea moyoni

Kazi njema mkuu
 
Na furushi moja eti linakuja jisifia hapa kutembea na ex, halafu ex mwenyewe mke wa mtu, na wewe unaona umeyapatia maisha??? Mwanamke ana magoli mawili ya kidume chenzio, Bruh' hujiskii hata kinyaa..??
Muanze kujiuliza nyie mnaochia mzigo kwa ma ex
 
Back
Top Bottom