Kesho nakula X wangu baada ya miaka saba

Kesho nakula X wangu baada ya miaka saba

Kaa cinini kidogo na kuanza kutafakari uasi unaokwenda kutenda labda utapata ufahamu. kumbuka ukitenda mabaya utalipwa mabaya.
 
Usisahau unapoondoka kwenu uwaonyeshe sehemu ya nyumba yako ya milele unakoenda kesho ni sawa na nyumbu kwenda kukorofisha sehemu simba walipolala
Anaenda kutikisha mzinga wa nyuki mchana jua linawaka Kali
Eti aone nn kitatokea
Sawa mwache aende
 
Mkuu be matured, kama umeona mwanamke ni dhaifu kwako, muache for the respect of your fellow man. I don't see the point of you to feel proud bro. You are married, she is married, respect her marriage na ikiwezekana mshauri, hautaonekana hanithi kusimamia maadili.
 
Kesho naelekea Dar na nimeshampigia X wangu ambae kaolewa na ana watoto wawili.
Ame confirm kutoa mzigo kwani jamaa mida ya mchana atakuwa kazini.

Kweli mtalaka hatongozwi
Asante kwa taarifa bwana mdogo, jiandae!!!
 
Anaenda kutikisha mzinga wa nyuki mchana jua linawaka Kali
Eti aone nn kitatokea
Sawa mwache aende
Ata akiwa kuzimu asisahau kuleta mrejesho🤣🤣🤣
 
Na furushi moja eti linakuja jisifia hapa kutembea na ex, halafu ex mwenyewe mke wa mtu, na wewe unaona umeyapatia maisha??? Mwanamke ana magoli mawili ya kidume chenzio, Bruh' hujiskii hata kinyaa..??
Yaani dah............ kua uzidi kuyaona.
 
Leo usiku mme wake anamtafuna halafu kesho na wewe unaenda kuingiza humo humo too bad unakuta hadi deki utapiga
 
Kesho naelekea Dar na nimeshampigia X wangu ambae kaolewa na ana watoto wawili.
Ame confirm kutoa mzigo kwani jamaa mida ya mchana atakuwa kazini.

Kweli mtalaka hatongozwi
Kaa ukijua mkeo pia ana X wake!
 
Kesho naelekea Dar na nimeshampigia X wangu ambae kaolewa na ana watoto wawili.
Ame confirm kutoa mzigo kwani jamaa mida ya mchana atakuwa kazini.

Kweli mtalaka hatongozwi
Kwamba unamiaka Saba,bila kukanyaga Dar ???

wewe ninani????
 
Back
Top Bottom