Kanali_
JF-Expert Member
- Nov 18, 2018
- 7,504
- 11,738
Na usikute anachat na mme wa huyo Ex wake!Usisahau unapoondoka kwenu uwaonyeshe sehemu ya nyumba yako ya mileleunakoenda kesho ni sawa na nyumbu kwenda kukorofisha sehemu simba walipolala
![]()
Na usikute anachat na mme wa huyo Ex wake!Usisahau unapoondoka kwenu uwaonyeshe sehemu ya nyumba yako ya mileleunakoenda kesho ni sawa na nyumbu kwenda kukorofisha sehemu simba walipolala
![]()
Kwa lugha nyingineNa furushi moja eti linakuja jisifia hapa kutembea na ex, halafu ex mwenyewe mke wa mtu, na wewe unaona umeyapatia maisha??? Mwanamke ana magoli mawili ya kidume chenzio, Bruh' hujiskii hata kinyaa..??
Naaam.Kuna uwezekano akageuzwa kitafunwa?
Asipokuelewa....atakua na matatzo.Na furushi moja eti linakuja jisifia hapa kutembea na ex, halafu ex mwenyewe mke wa mtu, na wewe unaona umeyapatia maisha??? Mwanamke ana magoli mawili ya kidume chenzio, Bruh' hujiskii hata kinyaa..??
🤣🤣🤣Rafiki umehamia huku tena?
Kwamba unamiaka Saba,bila kukanyaga Dar ???
wewe ninani????
Imenibidi niangalie umejoin lin JF nikakuta kumbe umzoefu sana.sio mbaya na wako nae atamegwa na Ex wake ukiondoka hiyo kesho
Kesho unaenda kuliwa 😎 😎 😎Kesho naelekea Dar na nimeshampigia X wangu ambae kaolewa na ana watoto wawili.
Ame confirm kutoa mzigo kwani jamaa mida ya mchana atakuwa kazini.
Kweli mtalaka hatongozwi
Tusimwambie hivyo unajua anaweza kughairi kwenda kufanya uzinzi😅😅kumegewa kunauma kichizi yaniWakati yeye yuko na muke ya mtu na mkewe yuko doggy style na mume ya mutu!!! Sijui atakuwa tundu lipi? 😂😂😂😂😂
Tusimwambie hivyo unajua anaweza kughairi kwenda kufanya uzinzi😅😅kumegewa kunauma kichizi yani
Kwa hizi comments kama mwamba ataendelea na safari yake basi atakuwa na moyo wa jabali😂😂😂😂😂😂siku zote mkuki kwa nguruwe 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kwa hizi comments kama mwamba ataendelea na safari yake basi atakuwa na moyo wa jabali
Wacha bhanaKwa lugha nyingine
..... Mwanamke mwenyewe mtoto au watoto, hapaswi kuolewa au kua na mwanaumr mwengine sababu keshazalishwa???
Hapa hoja ibakie ni mke wamtu..lkn sio yeye kuzaa .
Kwa sababu K. Haina makombo.
Wakati wee unasema niliimwagia shahawaaa weeee.... Kuna mwengine, anaipiga dekiiiii weeeeeeeerr
Kumbe ni demu 🤛🤛🤛Demu hata nielewa kabisa lazima niende kwa kweli
Wewe Ni MpumbavuKesho naelekea Dar na nimeshampigia X wangu ambae kaolewa na ana watoto wawili.
Ame confirm kutoa mzigo kwani jamaa mida ya mchana atakuwa kazini.
Kweli mtalaka hatongozwi
Kwa hiyo unajiona mjanja mwenyewe and call urself a man? 🚮🚮🚮🚮Kesho naelekea Dar na nimeshampigia X wangu ambae kaolewa na ana watoto wawili.
Ame confirm kutoa mzigo kwani jamaa mida ya mchana atakuwa kazini.
Kweli mtalaka hatongozwi
Hivi wengine huwa mnawezaje. Aisee me Nina kinyaa hatariKesho naelekea Dar na nimeshampigia X wangu ambae kaolewa na ana watoto wawili.
Ame confirm kutoa mzigo kwani jamaa mida ya mchana atakuwa kazini.
Kweli mtalaka hatongozwi
Tuliza boliNa furushi moja eti linakuja jisifia hapa kutembea na ex, halafu ex mwenyewe mke wa mtu, na wewe unaona umeyapatia maisha??? Mwanamke ana magoli mawili ya kidume chenzio, Bruh' hujiskii hata kinyaa..??