Ni miaka mingi imepita takribani 20 sikuwahi kuwa mwanachama wa chama chochote cha siasa hapa nchi japo nilikuwa upande wa wale wanaokandamizwa na kuonewa katika tafakuri ndani ya kichwa change nimeona ni jiunge rasmi na Chama tawala kwa awamu hii ya sita kwa sababu zifuatazo.
1. Awamu ya kwanza watanzania wote tulikuwa ni CCM ila sikuwa na umuhimu wa kujiunga na chama kwani ilikuwa ni moja kwa moja Mimi ni chama hicho japo sikuwahi kushugulika na mambo ya kisiasa hivyo hakukuwa na ulazima kujinasibu kuwa CCM.
2. Awamu zilizopita kuacha ya baba wa Taifa kila moja ilikuwa na maudhi yake kuanzia kwa mzee mwinyi hadi kwa mwendazake, kila Awamu ilikuwa na jambo baya ambalo halikunifurahisha hivyo kushindwa kujinasibisha na CCM.
3. Awamu hii ya Sita inamchanganyiko wa mambo mengi bora kutoka karibu kwa kila Awamu kuanzia Baba wa Taifa hadi Awamu ya Mwendazake hivyo nadhani ni muda muafaka kukitumukia chama hiki na serikali take.
4. Nahisi Nina uwezo mkubwa wakusaidia nchi kuliko watu wengi wenye dhamana ndañi ya chama.
5. Naona kuna kila dalili ya utawala wa sheria kuchukua mkondo wake kitu nilichokuwa nikitamani siku nyingi kwa nchi yangu hivyo kesho nitaongea na waandishi wa habari.
Asanteni na usiku mwema.
1. Awamu ya kwanza watanzania wote tulikuwa ni CCM ila sikuwa na umuhimu wa kujiunga na chama kwani ilikuwa ni moja kwa moja Mimi ni chama hicho japo sikuwahi kushugulika na mambo ya kisiasa hivyo hakukuwa na ulazima kujinasibu kuwa CCM.
2. Awamu zilizopita kuacha ya baba wa Taifa kila moja ilikuwa na maudhi yake kuanzia kwa mzee mwinyi hadi kwa mwendazake, kila Awamu ilikuwa na jambo baya ambalo halikunifurahisha hivyo kushindwa kujinasibisha na CCM.
3. Awamu hii ya Sita inamchanganyiko wa mambo mengi bora kutoka karibu kwa kila Awamu kuanzia Baba wa Taifa hadi Awamu ya Mwendazake hivyo nadhani ni muda muafaka kukitumukia chama hiki na serikali take.
4. Nahisi Nina uwezo mkubwa wakusaidia nchi kuliko watu wengi wenye dhamana ndañi ya chama.
5. Naona kuna kila dalili ya utawala wa sheria kuchukua mkondo wake kitu nilichokuwa nikitamani siku nyingi kwa nchi yangu hivyo kesho nitaongea na waandishi wa habari.
Asanteni na usiku mwema.