Kesho na keshokutwa kuna usalama kweli?

Kesho na keshokutwa kuna usalama kweli?

nimechafukwa

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2013
Posts
290
Reaction score
237
hizi msg zinazosambaa kuwa ksho na keshokutwa watalipua zinaniogopesha kweli ...ksho nina vipindi na presentation chuo lakini sivuki na pantoni ng"o ...degree kitu gan bwana ukiwa kaburini...najaribu kuwaza kwa sauti
 
hizi msg zinazosambaa kuwa ksho na keshokutwa watalipua zinaniogopesha kweli ...ksho nina vipindi na presentation chuo lakini sivuki na pantoni ng"o ...degree kitu gan bwana ukiwa kaburini...najaribu kuwaza kwa sauti

Acha kabisa, hapa arusha tupo na wasi wasi sana
 
mxcpotmmktcra.jpg

Ni ushauri tu, ndrukiiiiiiii
 
hizi msg zinazosambaa kuwa ksho na keshokutwa watalipua zinaniogopesha kweli ...ksho nina vipindi na presentation chuo lakini sivuki na pantoni ng"o ...degree kitu gan bwana ukiwa kaburini...najaribu kuwaza kwa sauti

Serious note: siyo lazima itokee ndo tuhamaki, hata isipotokea ukweli upo pale pale...cha msingi wewe unayefahamu fika kuwa hutakidhi vigezo vya magaidi uchukue tahadhari zaidi.
Kinga ni bora kuliko tiba, garrisa walionywa in advance wakachukulia pouwa, wengine walifika mbali na kudai ni chuki dhidi ya dini fulani, wengine wakadai ni wasomali wanaonewa tu,
 
Mmmh haya sasa kumekucha, leo ndo ijumaa
 
Yesu ingilia kati maana hii hali si shwari.
 
Nimepokea msg kwa group et kuna watu wamekamatwa Arusha wakiingia chuo cha uhasibu na bunduki na risasi160
 
Acheni uoga.. Huko vyuoni ulinzi si umesha imarishwa na kamanda wenu kova!!!?? Someni vijana
 
hizi msg zinazosambaa kuwa ksho na keshokutwa watalipua zinaniogopesha kweli ...ksho nina vipindi na presentation chuo lakini sivuki na pantoni ng"o ...degree kitu gan bwana ukiwa kaburini...najaribu kuwaza kwa sauti
Wana jf kuna watu wanataka kuleta madhara kwenye mikusanyiko
ya vituo vya daladala asubuhi hii-Dar es salaam.
pengine ni kweli au si kweli tafadhali tuchukue tahadhari.
 
jamani anaejua basi herufi za kuruani atufundishe,tukikutana nao wakitupa aya tuweze kusoma,hizo alif,bee,tee,see mwalim kavaa msurupwetee!!
 
jamani anaejua basi herufi za kuruani atufundishe,tukikutana nao wakitupa aya tuweze kusoma,hizo alif,bee,tee,see mwalim kavaa msurupwetee!!

Hahaha..we wakikukamata ndo utakuwa mfano
 
Back
Top Bottom