Kesho, Jumatatu ni siku ya mapumziko Tanzania Bara na Zanzibar

Kesho ni mapumziko ametangaza Dr Shein

Huu upuuzi sana yamerudi yale ya Mwinyi enzi zile Shein anasema eti kesho watu wajipongeze, wiki nzima watu hawajafanya kazi Zanzibar walikuwa busy na kuandaa sherehe hlf leo unatangaza kesho pumziko.
By the way sisi tunahusika nn na Zanzibar mpaka tusifanye kazi kesho?

Ningekuwa na kampuni binafsi kesho ningefukuza watu kazi.
 
Huu upuuzi sana yamerudi yale ya Mwinyi enzi zile Shein anasema eti kesho watu wajipongeze, wiki nzima watu hawajafanya kazi Zanzibar walikuwa busy na kuandaa sherehe hlf leo unatangaza kesho pumziko.
By the way sisi tunahusika nn na Zanzibar mpaka tusifanye kazi kesho?

Ningekuwa na kampuni binafsi kesho ningefukuza watu kazi.

Tanzania tunaendekeza sana uvivu halafu tunataka kuharakisha maendeleo.
 
Imetangazwa na shehe wa mkoa wa Dar kuwa maulid ni J4 kitaifa kigoma. Sio j3. Kesho ni siku ya kwaida.
 
Nchi zinazoendelea wananchi wake wanapenda kupumzika pamoja na starehe.Kiuchumi siku ya mapumziko ya kujitakia ni hasara.Just thinking aloud.
 
Kwa wale tusio kwenye chain of command ya Dk.Shein tutahitaji taarifa rasmi ya serikali yetu.
 
Wadau nimeskia eti kesho imeombwa iwe siku ya mapumziko kusheherekea sikuu ya mapinduzi ya Zanzibar, je wenye uhakika je ni kweli?
 
mwinyi tym imerudi tena. Kwa namna hiyo keshokutwa pia hakuna kazi kwa sabb ya hbd yd mtume
 
Tatizo la viongozi wetu wanadhani sikukuu ni kukaa majumbani na watu kutembelea nyumba ndogo. Tulitakiwa kesho tuchape kazi kwa bidii ili kuyaenzi mapinduzi
 
Imetangazwa kuwa kesho ni mapumziko baada ya leo viwiliwili kuwa vimechoka na maadhimisho ya sikukuu ya Mapinduzi ya Zanzibar. Aliyasema hayo Dr. Shein Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na akanong'onezana ka Kikwete pia nae karidhia huku bara kuwe na mapumziko.
Ukiunganisha na Maulid ni full kupumzika.
 
Nchi zinazoendelea wananchi wake wanapenda kupumzika pamoja na starehe.Kiuchumi siku ya mapumziko ya kujitakia ni hasara.Just thinking aloud.

Wenzio wanafurahia kuonyesha dunia na watanganyika kuwa wao ni nchi kamili na kwamba wako tayari kuwa huru
 
Khaa!!! Hebu andika vizuri basi ueleweke. Unatoa taarifa? Unalalamika? Unalialia au umelewa??

Nakeme amapepo ya uvivu..kesho nataka viporo vya docs za kupigwa muhuri na malipo yaliyotakiwa fanyiwa kazi j3 ili mambo ya kiuchumi yaende mbele Swine na JK..wanajua uvivu wa wagongo ukiwaambia hakuna kazi wanarukaruka..wakatiw engine siku haitoshi.
 
Wrong? Kama kesho mapumziko, leo maulid yanasomwa wapi?
That's why I said You get it wrong. Kesho ni mapumziko kusindikiza miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar, Jnne ni mapumziko ya Maulid. Jtano ndio makazini Mkuu. Imetangazwa huko Zenj muda mfupi uliopita na Dr Shein na kisha JK karidhia hilo kuwepo mapumziko na bara pia hiyo Jtatu ya kesho. Hope sasa umeelewa
 
Habari zilizotufikia punde kutoka Zanzibar ni kuwa Rais wa Zanziba pamoja na Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wametangaza kuwa kesho itakuwa ni Siku ya Mapumziko ya kusherehekea miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanziba,

Chanzo cha habari hii ni TBC1

Ninawatakia MAPUMZIKO MEMA,HIZI NI HABARI ZA UKWELI,

Elisante Yona
 
Back
Top Bottom